sasa hoja yangu ni tuhuma za Muumin wao THADEO OLE MUSHI ambazo mtandaoni zimevuma wiki nzima kunyimwa haki yake ya mazishi kwa taarifa kuwa alipinga waraka wao kuhusu bandari. Kanisa linapaswa litoke lijieleze kama tuhuma hizo ni kweli au la na kama pia viongozi wa serikali wakatoliki...
Utaratibu wa kuleta vurugu na maandamano ili kuvunja amani na kuleta mifarakano isiyo ya lazima haikubaliki na ni lazima raisi asimame kidete kwa watu wanaotaka kuleta fujo na vurugu.
Hali ngumu sio Tanzania tu, Nenda Kenya kaulize kuhusu garama za maisha je zipo chini? Hawa si wana tume huru...
Kwa kuwa wamemwaga mboga mwaga ugali. FUTA MOU hakuna kuwapa mishahara madaktari, hakuna msamaha Tena bandarini Kwa vifaa Tiba wakati tunalipishwa tukienda mahospitalini, billioni wanazopewa Kila bajeti zizuiwe.
watatia akili.
source: BBC
Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameomba msamaha kutoka kwa Mungu kwa "dhambi na makosa yaliyotekelezwa na Kanisa na waumini wake … ambao walitekwa na chuki na ghasia" wakati wa mauaji ya kimbari Rwanda.
Alikuwa akiongea baada ya kukutana na Rais Paul Kagame mjini...
MKATABA WA BANDARI
Tamko la Kanisa lapingwa kila kona
Kutoka Ukurasa wa Sheikh Ibrahim Ghulaam
Muda mchache tu baada ya viongozi wa Kanisa Katoliki kutoa tamko kupinga mkataba huo, tayari watu wa kada na Imani tofauti wamekosoa na kulipinga tamko lao hilo na kuitaka Serikali iendelee na...
Amewapa Pesa za ruzuku
ameruhusu mikutano
ameahidi kuwapa katiba mpya
amewaruhusu kurudi nchin toka mafichoni
baadhi wamelipwa malimbikizo yao
amekubali Maridhiano.
Lakini wapi hawaridhiki, wanamtusi na kumkejeli sasa Imetosha badilikikeni viongozi wazuri kugeuzwa wabaya na watu wenyewe kila ck...
Uchochezi umekuwa mwingi mno na serikali imekua kimya hii ni hatari Kwa usalama na ustawi wa taifa.
Kila siku Marais waliokufa wanatukanwa na hakuna mtu wa kuwatetea.
Kuna watu wanasema Hayati Magufuli alikutwa na Bil. 100 lakini hakuna ushahidi uliotolewa kuthibisha madai.
Watu kutoa lugha...
Niwasihi ndugu hatukatai mtoe hoja, hatukatai mseme yale mnayotaka kusema lakini semeni kwa uungwana, zungumzeni kwa busara, jengeni hoja."Kusema Rais ana akili za matope au kusema Rais ameuza bandari, wewe sema mkataba huu haujakaa vizuri
toa hoja kwa nini hauajakaa vizuri, upande wa pili...
Tweet ya suphian
kaka yangu
@TunduALissu
unamkejeli Rais
@SuluhuSamia
eti hatoshi umesahau ndiye:
1)Kiongozi wa juu pekee aliyekuja kukufariji Kenya na Ubeligiji
2)Kulipa mishahara, pensions za Ubunge
3)Kupatia passport4)Kulipia ndege kutoka Ubeligiji
6)Kufuta watu wasiojulikana...
Kuna chama kinajiiita eti chama kikuu cha upinzani kimepoteza mvuto na kimepoteza sera sasa hivi wanaparamia kila tukio hawajulikani wanasimamia nini. Ndio mana Zitto amewa outshine.
Hatutaki chama chenye dalili ya ukabila kuhubiri kila saa uzanzibar na utanganyika
Hatutaki udini
Hatutaki...
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa...
Katika dini ya kiislamu wanawake hawaruhusiwi kunyoa nywele pia ni wajibu kwao kusitiri mwili mzima. Ukihitaji ushahidi unaeza patiwa sio ujinga kuzungumzia suala hili bali kuna group linaathirika kimyakiya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.