assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari