Kumtukana Rais Samia hadharani ni uhaini

assadsyria3

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
6,904
4,050
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.

Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

cc waziri wa habari
Wakifanya hilo hitaji la moyo wako ndiyo majibu kuhusu mkataba na DP World yatakuwa yamewafikia wananchi?Ukipewa changamoto unapaswa uikabili positively na siyo kuanzisha ugomvi.Utaonesha kuwa hauna nia njema tena.Hoja kwa hoja.Siyo hoja kwa risasi.
 
Kwenye mkataba wa DPW haujaona Saini ya President? Sasa tukisema ameuza bandari ni tusi? Tukisema bora chifu mangungo wa msovero kuliko chifu hangaya wa zanzibar kwenye mikataba ni tusi? Madalali wenzako Kitenge na Musukuma wamepewa V8 na waarabu ,wewe umepewa nini?
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

watu watoe maoni bila kumtukuna mtu.Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.


sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Raisi chukua hatua Kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Kuuza Bandari ni uhaini zaidi.
 
Matusi gani unayazungumzia wewe zaidi ya kuhoji uwazi wa faida za mkataba wa bandari Kati ya Tanzania na Dubai.
Raisi ni taasisi iliyo timilifu hivyo kila mmoja ndani yake anajua lipi tusi na si tusi(wenyewe watahitaji handbreak soon wanawekewa).

Hao watu wanashida sana , wanaulizwa mkataba ni wa muda gani kimya? Wanaulizwa kwa nini mgawe kwa mtu mmoja bandari zote za bahari na bandari za maziwa makuu kimya? Wanaulizwa mnaona mlichosaini kina faida kwa nchi hawajibu, wanakimbilia oohh kwakua mzanzibar haya kama mnajua ni mzanzibar kwa nini ayafanye hayo sehemu ambapo sio zanzibarutasikia ooohhh ni udini wanaulizwa kwani dini inaingiaje kwenye bandari wako kimya hawa jamaa wa ajabu kwelikweli
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

watu watoe maoni bila kumtukuna mtu.Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.


sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Raisi chukua hatua Kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Tafsiri ya tusi ni ipi, raisi kuwaambia watendaji walio chini yake ni stupid sio tusi, ukiambiwa ni mjinga sio tusi...... Tafsiri hasa ya tusi ni nini?
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

watu watoe maoni bila kumtukuna mtu.Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.


sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Raisi chukua hatua Kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Sambamba na huu uzi wako, Je huoni kuwa ni vyema ukatumia haki yako ya kikatiba ukafungua mashtaka mahakamani, kuwashitaki hao watuhumiwa wa huo uhaini?
 
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

watu watoe maoni bila kumtukuna mtu.Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.


sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Raisi chukua hatua Kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari

Hizi ndizo tafsiri za neno uhaini

1. Tendo la kusaliti nchi yako, mipango ya kupindua serikali

2. Tendo la kuvunja mkataba au kufanya jambo kinyume cha lile ambalo uliahidi kwa mfano kula amana ya mtu

Katika tafsiri zote mbili kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili, sioni hata moja inayoendana na tuhuma ulizozitaja...
 
Matusi gani unayazungumzia wewe zaidi ya kuhoji uwazi wa faida za mkataba wa bandari Kati ya Tanzania na Dubai.
Raisi ni taasisi iliyo timilifu hivyo kila mmoja ndani yake anajua lipi tusi na si tusi(wenyewe watahitaji handbreak soon wanawekewa).
Na mtu anayechukua mali yako bila ruhusa na kuiuza mleta uzi atuambie tumuite nani?
 
Hizi ndizo tafsiri za neno uhaini

1. Tendo la kusaliti nchi yako, mipango ya kupindua serikali

2. Tendo la kuvunja mkataba au kufanya jambo kinyume cha lile ambalo uliahidi kwa mfano kula amana ya mtu

Katika tafsiri zote mbili kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili, sioni hata moja inayoendana na tuhuma ulizozitaja...
Sanasana zote zinamgeukia anayesemwa kutusiwa.
 
Back
Top Bottom