Wito wangu ni kwa Mh Rais.. tunaomba uziangalie hizi taasisi mbili kwa upya kwa sababu hawafanyi kazi zao zinavyopaswa na kuumiza watanzania kwa kiasi kikubwa sana.
TBS IMESHINDWA KUWAJIBIKA VITU FAKE NI VINGI NA VIMETAPAKAA NA HAKUNA ANAYESHUGHULIKA
Tukianza kuanzia mafuta,sabuni (vipodozi...
Jana kulikuwa na shoot out kinondoni na wananchi wengi wameumizwa lakinj polisi kimya kama hakujatokea kitu, ulikuwa ni ugomvi kati ya mmiliki aliyenunua eneo anayetaka kubomoa na wananchi.
Kuna video clip ilipostiwa ambayo ilikuwa deleted chaaap inaonyesha maaskari ambao sina uhakika ni police...
Naomba kuchukua nafasi hii kuelezea changamoto zetu na kutoa pendekezo kuwa wilaya ya ubungo igawanywe itoke wilaya ya ubungo na kibamba ili tupate mbunge, dc, das na halmashauri yetu. Kwa kuwa sisi wakazi wa kipande cha kuanzia Mbezi makabe, msakuzi,Msumi, mpiji yote na kidimu hawa viongozi...
Well, nilitengana na mzazi mwenzangu muda kama miaka 5 iliyopita sasa ni marafiki tu. baada ya hapo sijawaha na mahusiano rasmi sana ila sijagegedana nina zaidi ya miaka 2 na nipo fine tu, natongozwa sana tu ila wote tukianza kuzoeana sana kuelekea huko naloose interest. Naamua kumdump naanza...
Nina tablet yangu Dell streak 7 inaniambia (The process android.process.acore has stopped unexpectedly.please try again) kila baada ya sekunde chache.. Nikisema ni reset factory settings inakubali nikirud vitu havijafutika..vipo vile vile.. Please help how to fix this problem.
siku hizi kuna ndoa na harusi nyingi saaana saaana.watu wanaoana saaana saaana.. hivi hawa watu wanaelewa kweli.maana ya ndoa?? wanakimbilia kufanya nin wakati hawawez kuacha kutoka nje?? au kutunza ndoa zao zisivunjike??
habari, wanajf naomba msaada kwa yeyote alieapply tanzania postal bank hizo email zimeenda..me nimetuma saana ila zinakataa kabisa.. narudishiwa email kuwa zimekataa..msaaada!!
Napenda kusema hivi kutokana na kukerwa kwa kitendo cha wanawake wawili known East Africa.DIVA LOVENESS LOVE (TZ)& BOSS LADY(KENYA) kutukanana na kutupiana maneno ya kashfa kisa kumgombania PREZZOO.. Inasikitisha saana wanaonesha jinsi gani wanavoshobokea masuperstar..maneno ya kejeli saana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.