Kwa wale wapenzi wa huu mchezo....tupashane habari hapa kwa kadiri series zinavyoendelea....
Nyani Ngabu ....jana nimeona vijana wako wamewazima Indiana.........leo Mzee mandevu Harden katoka hoi kwa kijana Lillard D.
Ab-Titchaz .....Mkuu usitusahahu mapichaz......
Hivi kweli Dr. Masika........ulikosa kabisa hata kupata mtu maarufu wa kumualika kwenye ceremony ya vijana wetu wasomi........mpaka unatuwekea huyu Kilaza Mulugo...kweli!!??.....
Yaani kumbukumbu za watu kwenye Graduation ceremony yao unamuweka Mulugo kweli!!..........halafu tena unamvisha...
Wakuu ninaomba kuuliza kwa wale wenye Ujuvi na masuala protokali/Itifaki (sijui neno lipi hapo litakuwa sahihi kutumika), unapotumia Title "JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA (THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA)" je ni sahihi kutumia nembo tofauti na nembo ya TAIFA?, naomba kuelimishwa...
Wandugu hebu tumsikilize Mkuu wetu wa nchi akiwa New York akizungumzia masuala ya afya........its interesting.......
President Kikwete attends NASDAQ event on Women's health in New York - YouTube
Wandugu wote mlioko katika mkondo wa njia ya huyu "mdudu" Irene.........tunawaombea ili msalimike..............kwa wengine huko NC poleni na I hope mmesalimika.
Mkulu William...........hope everything is fine......
Nachukua nafasi hii kumpongeza mke wangu na akina mama woote popote pale walipo........muendelee kuwatunza vema waume, watoto wenu na jamii inaowazunguka.....
..................habari nilizozipata za ndani kabisa ya CCM ni kuwa........... CCM wamejiandaa.............yaani kuna kushindwa au kushinda........sikutegemea kabisa bwana huyu MZITO SANA NDANI YA CCM kunipa maelezo hayo..............awali i.e. kampeni zikianza aliniambia kuwa "CCM hatuna...
Hawa watu ni akina nani? wako wapi hapa Tanzania
Wanafanyaje kazi zao hapa nchini?
Walianza kazi zao lini?
Ni kina nani wana mamlaka juu ya shughuli wanazozifanya?
Wananchi tunanufaika vipi na uwepo wao?
mwenye kuwajua fika hawa watu please atumwagie hapa JF
Wakuu....hebu mchekini Ogah
http://www.youtube.com/watch?v=rlmYsUiyhDc
Mkiichagua CCM there is only one thing involved............you are doomed....forever!
Yaani leo ni siku nzuri sana.......kweli hi ni Super Sunday.....kuanzia kwa akina Chelsea Vs Arsernal mpaka Miami..........
Haya Mazee Super Moderator Abby......usichoke kuweka mapicha........
WASHINGTON - Declaring "I don't quit,'" an embattled President Barack Obama vowed in his first State of the Union address Wednesday night to make job growth his topmost priority and urged a divided Congress to boost the still-ailing economy with fresh stimulus spending. Defiant despite stinging...
Mara nyingi nimekumbana na tatizo la pasipoti zetu (mpya) kutosomeka.....hii imenitokea sana tu........
Nahisi kuna tatizo la kiufundi kwenye pasipoti zetu zinapotakiwa kusomeka na mashine.........wahusika fuatilieni...........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.