Hahahahahah lol! naogopa hata kuuliza G
Dah Kidosho cha Georgia ni kikali kweli kweli.........hebu ngoja tuone matokeo..........
wewe wewee, Ogah wewe ushazeeka sasa bro... maana hata kwa umri-wa-kiJF masafa yameenda mbali (kama ni radio basi hiyo inakamata frequency za MW tu)... lol! Yaani huyo ndo' umemzimikia kihivyo??!! :doh: