Mzee Ailey yatoa maisha yake toka wakati aw Juana hatamwisho kwaajili ya kumtumikia Mungu bila kutenda walk Kutamani Mali na kujilimbikizia ni Mfano aw kuitwa kwa viongozi aw Jamii Hassa watumishi aw Mungu .Kanisa la EAGT lime pasta pengo KUBWA
Huyu Jamaa ni msanii tu!! Hajawahi kusoma hata Masters Achilia mbali Phd inayomfanya Aitwe Dkt Lucus.Mimi nimekuwa nae Mlimani 2003-2004 then Arusha 2006 to date, akiwa mwajiliwa wa Manispaa ya Arusha, Najua hayupo tena Pale Manispaa sasa jiji. Ila is vzr kumjadili kama mtaalamu aliebobea -hili...
Huyu alieleta hii post mbona analeta post za uongo? Huyu jamaa ana undrgraduate,degree na pass ya kawaida, sio 1st class matterial, amemaliza mlimani 2004 sio 2003, amefail CPA, hajawahi soma MBA,hata agesoma angepaswa kumaliza 2007, PHD ni uongo wa mchana kweupe, jamani hii inatuharibia...
LOR][/FONT][/I]
P. O. BOX 15582 ARUSHA, TANZANIA, EAST AFRICA+255(0)767820074(Home)+255(0)755 349703(Office)+255(0)685475322(Weekend)Email: webirogl@yahoo.comTANZANIA.
· DoctoralDegree [Ph.D in Economics] College of Business and ManagementSciences at Makerere University, June 2011...
Hapana ...............Mimi na shauri John Tendwa Aifute chadema kwasababu ndio inao sababisha haya yote................Kafu waacheni wanze kulisha wasilam viapo.........ona Muslem brotherhood wako wapi leo??? vip na yale maandamano yao ya kwenda ikulu??? duh na Bakwata ni ya Katoliki kwli kabla...
Miss xonception ni kujiunga na chama ili uwe Mbuge.............Tunakazi ya kuelimisha jamii kujua haki zao za msing"ccm waniita kazi hii kupandikiza chuki kwa wnanchi juu ya serikali yao"
shime tuungane
Maumivu ya Kichwa huwanza polepole............
ni hatari kufikiri kuw mtu anaweza kuwa muhimu au maarufu kuliko Taasisi nafikiri Utanzania uanze ufuate uchadema na mwisho Uzito au wepesi wa mtu
Mbona wafanyakazi wengi wa serikali wana kadi mbilimbili moja ya kumlizisha mwajili +Pili ya Mapenzi yake kwa Cdm.....sioni issue kwa. Slaa kumilili Kadi mbili..
Acha upumbavu wee na note yako kuwa halima ni mbunge pekee wa kike aliyechagliwa na wananchi.........unamjua agripina buyogera wa nccr kasulu alichaguliwa na kijijini kwenu?????????/
.................very sad to see people who have ispired youth in this country to become politician is now under fire on political hypocracy i still belive that Zitto is still influencial to CHADEMA and his contribution should not be underestimated ila ni wakati wa kukaa chini na kuona how we...
ccm waliaminishule za Kata zingetugawa na kututawala kilaini badala yake huu ni mtaji wa kuwatoa madarakani haraka tuna aanza na serikali za mitaa na vijana hawa watakuwa sehemu ya utawala bora na mipango ya kimapinduzi regards
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.