keteka
Senior Member
- May 12, 2013
- 149
- 52
kamanda acha majungu kwa huyu kamanda kiukweli humfahamu kabisa kusoma amesoma hata wapo wengi amefundisha wana jua waledi wake sio majungu kama haya.jamani JF imevamiwa na makajajanja. huyu jamaa Webiro ni tapeli tu. anaishi arusha alikua mhasibu jiji arusha anakesi mahakamani.
huko bunda hana mashiko ni propaganda tu za kutafta umaarufu wa kisiasa.