ANDENDEKISYE C
Member
- Mar 5, 2012
- 92
- 23
Mnyika asante kwa update. Ni kweli kabisa, suala hili lifanyiwe kazi, na sisi tunawaombea Mungu wale wanaolifanyia kazi, tufike mahala tupate suluhisho. Kuhusu Kadi, ufafanuzi umetolewa sana, ila OLE WAO, wao wanaowapotezea muda wa-TANZANIA kwa ujadili suala la kadi. Hata bila kuangalia kanuni,ukweli ni kuwa mtu akihama chama si lazima arudishe kadi, maana kadi inakuwa tayari imekuwa 'INVALID'. Ila kwa kuwa wa-Tanzania wengi ni wepesi wa kupokea mambo bila kutafakari ndio maana hoja kama hizi zinaibuliwa.