Waacheni wafu wazikane wao kwa wao!!!
Labda katimiza umri wa kustaafu kwa lazima. Katimiza miaka 60!
Tulikuwa tunamtaka Antony Mtaka.
anatafuta kula makombo ya mafisadi mkuu...afu huyo mapunda mwemzangu kwa magamba anatafuta nn?
bila shaka hii ni mbinu ya wazi ya emmanuel nchimbi kuingia ikulu. Trust come 2015 lazima akamate karatasi ya kugombea ndani ya ccm mtu tano yupo. Dogo janjasixtus mapunda amependekezwa kuchukua nafasi ya martin shigella kama katibu mkuu wa uvccm.
Tulikuwa tunamtaka Antony Mtaka.
Hata yeye Gamba!
anatafuta kula makombo ya mafisadi mkuu...
Wampe Kingunge si ndo alikuwa kamanda wao miaka michache iliyopita? CCM kila mtu ni kijana. Shigella amezeeka sura kuliko hata umri wake ila bado anaonekana kijana. Mkuu kwani huyo Mtaka si ndo mmempa uDC na mambo ya riadha? Bado ni kijana tu?
Itikadi pembeni,katika wanasiasa wachache wastaarabu wanaozingatia mhimili wa hoja kwenye siasa ndugu Mtaka ni mmoja wao.Lakini CCM hawataki watu kama hawa na sijui anafanya nini huko
CC: Mchambuzi
Team Nchimbi= 2015