Wadau nimeanza rasimi sunami ya ki- CHADEMA kungoa fikra na tawala za kifalme katika jimbo la Korogwe Mjini na wakati huo huo kusupport Kamanda atakaye peperusha jimbo jirani la huyu mganga wa kienyeji Korogwe vijijijni. Natarajia support na ushauri.............in new active politics from 1st January 2013