Salva hawezi kuwa kama Al sahaf,salva ni opportunist,Al sahaf alikuwa mtu wa Saddam,Salva ni mnafiki mtu wa maslahi.Kabla hajapata post tulikuwa tunaponda sote serikali,leo ana office IKULU!!!!!!
mmh baada ya muda mrefu sasa nimerejea.Uraia wa nchi kwa sasa ulimwenguni ni jambo amablo ni inevitable,vema serekali ipitishe sheria ya uraia wa nchi mbili,maana wanaokusudiwa ni Watanzania kunyakuchua uraia wa nchi nyingine na si raia wa nchi nyingine kuchukua uraia wa Tanzania.
Ninachijua mimi,lengo la uraia wa nchi mbili,prioty itakuwa kwanza ni kwa watanzania ambao wanataka kunyakua uraia wa nchi nyingine,hao ndio watakao pewa kipaumbele,na sio raia wa nje wanaoutaka utanzania.Hivyo basi kama ni prioty itakuwa ni kwa watanzania kwanza basi hilo ni jambo zuri.
Simu za mkononi?
Maana mwalimu alikuwa mgumu kinoma.Ni kweli amafanya kazi kubwa,kwa mafano ukabila alijitahidi sana tena sana.Mwalimu Rushwa alishindwa kupigana nayo,ndio maana alianzisha kikosi cha kuzuia rushwa 1973.Mwalimu ana mtani wake anaitwa "Sir" George Kahama,mpaka leo leo watu...
Mzee Mwanakijiji,msimuone nyerere kama ni mtu mwenye akili sana,kiasi kwamba mawazo yake yaendelee kuheshimiwa hata kama ni utmbo,vp dunia ya leoya utandawazi mtaja nyerere?Nyerere huyu si ndiye aliyeiingiza nchi ktk naqama ya vita?au ulikuwa mdogo?wakati tunakimbilia magari ya...
Time has come for dual citizenship!!Wanaosema hawakubaliani ni kwa sababu tu wao,wape ndani ya nchi,hawawezi kuona mambo yaliyonje ya nchi.Na ninaamini kabisa,amabo wataki uraia wa nchi mbili ni CHADEMA"wanatumiwa"
hiyo inaitwa mjenga nchi ni mwananchi na muuwa nchi ni mwananchi,wimbi,upepo huko huko,mbele kwa mbele,Imagine hawa ndio tuliwaaminini tukawapa heshima ya kutuongoza.Kasema Dr Ongala,nchi inateketea,wamepewa madaraka wakayatumia vibaya.
Wate wetu wagumu sana,muda si big dili at all.Tatizo wanaona nyie mtakuwa wapinzani wa sisiem nadhani hilo ndilo tatizo kuwa,nyie mtakuwa chadema,kafu,ti el pi,n sisiara mageuzi nk
Dear Jasusi nothing in motion!!I Read the facts from my brother said Yakub carefully,I understand our people down there(TZ),they are very slow for action,I dont know why is it so?Imagine as my bro Yakub said,this matter started since Former President Ben,and they said it was priority by...
Hao aika Tido ni watu wa maslahi,kwanza sifa kubwa ya Tido ni udini,pili ukabila.Alipokuwa BBC kawapa nafasi wa Tanga wenzie,pale alipoona hapa U Tanga peke yake hautoshi,ndio huvutia ktk dini,angalia TVT sasa hivi itakuwa ya wa Tanga,akina Said Yakub alipowaona hawa swahili akawabania,huyo ndio...
Nakushukuru mwanagenzi maelezo yako makini kabisa,hiyo sheria ipo ila siikumbuki,lakini all in all ngoja niitafute give me time.Aljazeera nikisha ipata hiyo sheria ndio utaamini kuwa Mengi anatumia vibaya vyombo vyake vya habari?
mwanasiasa lazima ujue,nini ilikuwa kesi ya msingi,usi seme tu Manji firauni kawashika,nssf,ccm sijui ikulu,No kesi ya msingi ni kuwa Mengi anatumia vibaya vyombo vyake vya habari,kesi hii it has nothing to do with manji.Its between Mengi and malima thats it!!!Alipoulizwa Mh malima unao ushahidi...
Tanzanianjema,hatukatai kama nchi inaoza ama imeoza,lakini tuwe na hoja,tusiwe watu wa jazba,lete hoja lete ushahidi,sio unaleta hoja huna ushahidi nayo.sie sio watu wa jumbe ndio,we have to hoji why?how?sio mtu kaleta hoja basi unaivamia tu tanzanianjema.
jina lako nikielelezo tosha mh Poorman,hebu mwangalie mwenzio Yeboyebo alivyosema,if not now but sooner than later ukweli utajulikana.hakuna anaye tetea maovu,ila lete ushahidi juu ya kileee unacho nenaaaaaaaaaa!!!!Sio jazba zako za ki-poor poor ndugu.
Eric Ongara,kama ndio wewe na hao ndio mashahidi wako ungefanyaje?Mbunge Malima hao ndio mashahidi wake no matter wana ugomvi au kuto kuelewanan na magazeti ya This day na Kulikoni lakini yeye ndio mashahidi wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.