sheria ya vyombo vya habari ulimwenguni,HAIMTAKI mwenye chombo cha ahabri kujionyesha yeye katika Prime time kama taarifa za habar
Kwa kujionyesha yeye katika news time ITS CRIMINAL OFFENCE,
Mzee wa london
Unaweza ku-prove maneno haya?
Lakini has been siding with CCM all these years , alifikia mahala pa ku potrya wapinzani kama Mamluki na kwamba watamwaga damu kama Burundina Rwanda and CCM has always been happy with that . Leo what went wrong ? Na mambo ukiangalia vyombo vyake ya habari ni pro CCM akiwemo Malima ambaye hana msimamo maana kahama vyama na kaamua kula karudi CCM. Mengi akiamua kutumia vyombo vyake vya habari vulivyo nasema kesho CCM inaanguka madarakani na wanamfunga ila kwa kuwa anakula nao basi tena . Hiyo sheria mimi binafsi sijawahi kuisikia naomba kueleweshwa tafadhali na baadaye watueleze ila kuandika habari upande mmoha ambayo Mengi anatumia kuwapa CCM mlo.
Malima na mashahidi wote ni wale ambao wamekuwa exposed kwa uozo na magazeti ya This Day na Kulikoni kupitia Mengi lakini yale si magazeti ya Mengi kila mmoja anaujua ukweli hapa . Ushahidi gani dau kaenda kutoa ambao haukuwa kwenye kuonekana LIVE hadi Malima akaropoka Bungeni ? Nina swali . Je kwa kuuliza na hata kusababisha walipa kodi kuliwa pesa zao 100m Malima kawasaidiaje watu wa Mkuranga ?
Mwisho nasema wale wameenda kutoa ushahidi wa kuwa wako na Manji wote .Nani hajui kwamba ni baada ya kusemwa na magazeti ya Kulikoni na This Day ndipo Union yao imeanza kulia na Mengi ?
Nakushukuru mwanagenzi maelezo yako makini kabisa,hiyo sheria ipo ila siikumbuki,lakini all in all ngoja niitafute give me time.Aljazeera nikisha ipata hiyo sheria ndio utaamini kuwa Mengi anatumia vibaya vyombo vyake vya habari?