ndio maana zanzibar hawataki mambo ya ukabila hakuna mzenji akakwambia kabila lake lakini hivi tu karibuni ndio imeingia fitna na kupandikishwa chuki ndio leo utasikia mpemba na muunguja hakuna jambo baya kama kitu ukabila au udini
mfano kikwete ana shahada ya uchumi, lakini angalia anavyocheka akiwa jukwaani!
Practce ni kitu muhimu pia, practice inajenga experience. Experience is the best teacher.Nafikiri JK uchumi hajapractice siku nyingi.
.
ukweli ni kuwa muheshimiwa rais baaada ya kumaliza degree yake ya BA Economics..alijiunga moja kwa moja na TANU kama msaidizi wa katibu msaidizi wa TANU zanzibar ..kabla hajajiunga na jeshi kuchukua mafunzo ya uongozi ya jeshi..uafisa..baada ya hapo aliendelea kuwa jeshini kama kada na pia kwa nyakati tofauti akawa katibu wa CCM wa wilaya za singida,lindi..kabla ya kupewa ubunge wa kuteuliwa na mzee mwinyi..na unaibu waziri wa nishati.......so kwa kifupi hajapata kupractice uchumi..kama ajira labda kama siasa...
Wanaharakati waandamana kumtetea Kabwe
Na Boniface Meena
WANAHARAKATI wa Haki za Binaadamu wa Mitandao ya Jinsia na Maendeleo Tanzania (FemAct) wameandaa maandamano ya amani yatakayofanyika leo, kupinga adhabu ya kusimamishwa kwa Zitto Kabwe ambaye ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini kuhudhuria vikao vya Bunge hadi Januari 2008.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Usu Mallya, alisema maandamano hayo yatafanyika kuzunguka viwanja vya TGNP, Mabibo jijini Dar es Salaam, karibu na Chuo cha Usafirishaji.
Alisema mbali na kupinga adhabu hiyo, nia ya maandamano hayo pia ni kutafakari kwa kina juu ya mwenendo mzima uliotumika katika kutoa adhabu hiyo kwa Zitto Kabwe.
Alisema pia watajadili hali ya kisiasa Tanzania katika muktadha wa mchakato unaoendelea kuleta demokrasia nchini, pamoja kujenga wigo mpana wa majadiliano juu ya utungaji na uundaji wa sheria na sera nchini Tanzania.
http://www.mwananchi.co.tz/newsre.asp?id=1141
... na hizi NGOs za kiraia wanaojitangaza kuwa ni vyama vya kitaifa? kwa mfano ukiangalia wanaharakati hawa; viongozi wao, wanachama wao na ushabiki wao kisiasa?