Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 837
Inawezekana kuwa Ridhwani yuko Tanzania anafanya research ya dissertation yake, na zaidi ya hayo inawezekana kuwa ameamua kuchukua mwelekeo tofauti kwenye masomo yak. Kilichonishangaza ni kuwa nilitegemea angekuwa kama anafanya MBA yuko hapo WARWICK instead of huko Hull na kama ni LAW basi HARVARD LAW SCHOOL pangemfaa zaidi kutokana na mfuko wa mzee wake na kama ni work expereince basi angefanyia hapo CLIFFORD CHANCE badala ya kwenda kuhangaikia mambo ya NEC katika kipindi hiki ambacho ilitakiwa akeep low profile zaidi na kuconcentrate na career yake