Search results

  1. eucalyptos

    Je tra walijipanga kuanzisha mfumo wa efd kupata kodi?

    Hivi ndivyo risiti huandikwa mara kadhaa endapo "mtandao haupo". Je kwanini TRA wasiangalie namna ya kuboresha mfumo huu wa kutegemea network za makampuni binafsi ambazo hazina uhakika sana? Pia kwanini wasijifunze kwa nchi zilizosonga kwenye ukusanyaji mapato kwa njia ya mtandao bila...
  2. eucalyptos

    Gesi asilia inaweza kuifanya tz isitegemee tena misaada

    Ndugu wanajamvi, Kutokana na maongezi ambayo tumekuwa nayo juu ya gesi yetu ya asili, ninachikua fursa hii kutoa mawazo yangu juu ya uthamani na kazi za gesi hii vitakavyoleta maendeleo ya haraka. Maoni yangu:- 1. Gesi hii inatakiwa itumike kwaajili ya kuzalishia umeme. Hii itaokoa gharama za...
  3. eucalyptos

    Dawa za kichina zatengenezwa toka binadamu

    Kwa wale wanaotumia na kupanga kutumia baadhi ya dawa za kichina soma hapa chini; Chinese Medical System Goes Cannibalistic Infowars.com Dec 22, 2012 A South Korean SBS TV documentary accused Chinese pharmaceutical companies in 2011 of selling “stamina pills” that contain ground...
  4. eucalyptos

    Uchumi unavyokuwa kwa kasi tanzania

    Kwa wale wengi ambao hawakubahatika kuona hii picha inavyothibiticha uchumi wa nchi unavyokuwa kwa kasi, naiwakilisha hapa. Isome kwa makini na utafakari.
  5. eucalyptos

    Misri revolution

  6. eucalyptos

    Picha hii ifananishwe na nini tz?

  7. eucalyptos

    Biogas- renewable energy

    Biogas is produced from manure and some biodegradable substances in a special environment. People would not suffer if they could use this source of energy. Biogas can be used direct in cooking, refrigeration, heating, transportation and electricity generation while the digestate (bio slurry)...
  8. eucalyptos

    Biogas? Cut your cooking energy expense to zero in 3-4years.

    Kwa wanaohitaji biogas kwaajili ya kupikia tuwasiliane @ solutionartz@yahoo.com
  9. eucalyptos

    Elections 2010 Hivi ccm wanakumbuka waliyofanya tarime?

    Wandugu, pamoja na nyombo nzuri saana ambazo tumekuwa tukizisikia toka kinywani mwa ccm kuna meeengi ambayo hatuyajui wala hatujayaona. Sijui wenzangu kama mlishafanikiwa kuona kilichofanywa Tarime na CCM kwa kutumia dola, hila, uongo, wizi, usanii na kujaribu kumwaga damu ya WATANZANIA...
Back
Top Bottom