Mm sina shida na nyie wadada kupiga umbea tatizo ni kuona janaume kuunga ushoga na wadada kupiga nao umbea.Mwambieni shoga yenu Matola apunguze umbea.Najua mashoga zake mtamtetea sababu mnafurahia story zake za kimbea.
Punguza umbea wee mwanaume.
Umejuaje hayo yote kama sio umbea wako unakusumbua?
Au ulikuwepo eneo la tukio alivyomalizwa babake mange kuliwa kiboga ukafuatia wewe ila wewe hukujiua sabab uliona tamu?
Ushasutwa mara kibao humu na madem ila umeshindwa kabisa kuacha umbea
Bora mange mental...
Mmhh.
Kwa unavyopenda umbea na kusutana nina uhakika hizo ndo blog zako.
Unatia aibu sana wee lijamaa hivi huoni aibu.Wewe ndio mwanaume pekee anayependa kusutana huku jf.We shauri yako endelea tu kupenda umbea kuna siku utavalishwa underskirt na dera usutwe na hao mashoga zako unaopiga nao umbea.
Hahaaaaa
Yani wiki mbili tu ushajua yote hayo.
Ila umenifurahisha sanaaa.
vipi jaribu kumtafuta mbuta nanga akupe maujanja.
Swali la kizushi..huko london ulienda kwa malengo gan?
Angalia hii video cheki dushelele ya almasi ilivyotuna hapo wakati Linah anataka kuondoka.
Kula maraha kijana kwani nini bana.
https://www.youtube.com/watch?v=0mQvRB5DGso
Genge langu liko tayari kuku-sponsor kwa matunda na mbogamboga za bure kwa mwaka huu na mwaka ujao.
Pia tutagharamia nauli za kuja kuchukua matunda na kurudi nyumbani kwako kwa kipindi chote hiki.
Itakua ni fahari kwetu kutoa huduma hii ndogo kwako.
karibu sana.
Acha tu Mkuu.
Ujue huyu geniveros nina mipango naye ya muda mrefu sema tu kuna kimbunga flani hivi kilipita nahisi kinaweza niharibia.
Ila penye nia pana njia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.