Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,720
- 68,792
nakusaidia ku dilute ubuyu wako maana wewe dakika mbili tu utasikia umekula ban mpaka next week
Hhhhaaaa uzuri wako hunaga presha na kutukana
nakusaidia ku dilute ubuyu wako maana wewe dakika mbili tu utasikia umekula ban mpaka next week
Kajenga kwao sinza kwa baba yake, yani kwao kulikuwa na kauwanja kamebaki sasa jamaa ndo akaporomosha kidude chake umo
Hhhhaaaa uzuri wako hunaga presha na kutukana
Huyo ndio Sir Toope wa Tandale kwa Mtogole kwa mzee Akilimali wa Yanga.Kesi nyingi zinazoenda kwa ofisi ya mtaa huko kwao Tandale ni matusi , kuchukuliana mabwana,wizi wa sufuria, vijiko kwa ajili ya siso.Ndio maana matusi anaweza kuyavumilia maana hamna new version ya matusi ya ukakasi.
Hhhhaaaa kwa warumi wa kishua ndio maana hupaniki haraka
Kwahiyo still anakaa kwa baba sio kwake? na mbona sikioni chakumfanya aseme mengi wakati mambo yote ni yakawaida tuu...........
Hhhhaaaa kwa warumi wa kishua ndio maana hupaniki haraka
Kutukana nyuma ya keyboard tu ninamudu vizur na hakuna wa kuniweza, maana nakuwa na matusi ya ajabu hadi mimi najishangaa nimeyatoa wapi, ila ugomvi au matusi ya kutukanana live siwezi kabisa ntakuangalia tu na kushikwa na kigugumizi, mimi sio muongeaji sana live, humu fade id zinatusaidia tu
Mwenzangu hadi nikaona aibu alivyonijibu, maana nilijua ntapata mchambo wa haja, da kuna watu wamebarikiwa hekima na ustaatabu, huyu maatope katisha, anisamehe bure
Warumi please weka picha yake aliyepost huko IG ameacha kitovu nje...duuu kweli wounders will never end till the end of the world...kabisa mwanaume unapost kitovu nje? au anashindana na x boss wake Wema kuonyesha kitovu,sasa yeyehuyu dinda anacho cha kuingia ndani au ana mdungu (kitovu kikubwa)
Warumi please weka picha yake aliyepost huko IG ameacha kitovu nje...duuu kweli wounders will never end till the end of the world...kabisa mwanaume unapost kitovu nje? au anashindana na x boss wake Wema kuonyesha kitovu,sasa yeyehuyu dinda anacho cha kuingia ndani au ana mdungu (kitovu kikubwa)
Kitovu hiki?????
Sio kikubwa iseeee
Na yeye yupo sexy madai mmh, ndo apo abishe achokonolewi kwel