Jamani nathubutu kusema kwa dhati kuwa kwa wale wenye majini, dawa ni hii hapa! Sidanganyi..

Status
Not open for further replies.
SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS Tafadhali jiepushe na mambo
yafuatayo: By : 1. Kumvunjia heshima,
kumkejeli, kumtukana,
mjumbe yeyote. Wadau wengi wamekuwa
wakiivunja kanuni hii
ambayo tulikubaliana tangu
2006; haturuhusu kwa namna
yoyote iwayo kuvunjiana
heshima kwa makusudi wala matusi kwa namna yoyote
iwayo. Mfano: Kuandika neno
fvck kwa nia ya kukwepa
censorship ni kutukana kwa
kudhamiria kabisa,
tumelishtukia hili na mara inapobainika hoja husika
huondolewa na mhusika
kufahamishwa juu ya kosa
lake, anapothibitika
kuendelea kukaidi basi
hufungiwa kwa muda au kufutiwa uanachama kabisa! By : 2. Kuleta katika JAMII
FORUMS maelezo yenye
maudhui mabaya, au
kuweza kuleta maudhi
yoyote kwa wajumbe ama
kwa wingi wake, ukubwa wake, au mfumo wake. Hili nalo pia husababisha hoja
za watu kufungwa, kufutwa
au mhusika kupewa onyo. By : 3. Kuleta makala au
kuendeleza mijadala yenye
kuleta ugomvi, uchochezi na yenye muelekeo wa kutengenishana badala ya
kuungana miongoni mwa wajumbe wa JAMII FORUMS na Watanzania wote kwa ujumla. Nadhani maelezo yaliyo juu
yanajieleza wazi, natamani
wengi wangeelewa maana
ya maneno hayo juu! JF si
sehemu ya kuanzisha
uchochezi aidha wa kidini, kisiasa n.k. Endapo itabainika
umeanzisha hoja kwa nia ya
kuibua uchochezi au ugomvi
na mtu basi tunasikitika hoja
hiyo itakufa HARAKA SANA... Wakuu na viongozi wa jamii forums inakuwaje mnaacha baadhi ya wachangiaji wanatoa lugha zisizovumilika kusomwa humu.. Wanajenga hoja zenye muelekeo wa kuibua uchochezi wa kutukanana humu .,unapomtukania na kumdhihakia mtu kiongozi wake wa kidini na imani yake unategemea nini hapo...? Wahusika tunaomba muchukue hatua kulingana na kanuni na sheria za jamii forum
 
Kila mtu anataja dawa ya kuondoa majini kwa namna yake! Jamaa yangu Peter Tosh naye alikuwa anakemea kwa kusema 'Bomboclaat Rasclaat!' pale anaposhikwa na majinamizi and evil spirits! Lakini jina YESU ndiyo kiboko ya majini na mashetani
 
1.Uislam hauamini katika nguvu za majini wala wanadamu,,,bali uislamu unaamin katika nguvu ya mungu muumba wa mbingu na ardhi 'ALLAH',,

2.KATIKA UISLAMU TUNAAMI KUWA KILA KITU KIMEUMBWA NA ALLAH,,HATA SHETANI PIA KAUMWA NA ALLAH HAJAJIUMBA MWENYEWE,

SHETANI/IBILIS KABLA YA KUPEWA LAANA NA ALLAH KWA KOSA LAKE LA KUTOMSUJUDIA ADAMU..ALIPEWA LAANA NA KUFUKUZWA MBINGUNI ALIPOKUWA AKIISH NA MALAIKA KWA PAMOJA WAKIMUABUDU ALLAH BILA KUMSHIRIKISHA KWA KITU CHOCHOTE KILE

ALLAH KAUMBA VIUMBE VINGI SANA,,

MFANO,,KAUMBA

1.MALAIKA

2.MAJINI

3.WANADAMU NA KADHALIKA...

KIPINDI MWANADAMU HAJAUMBWA IBILIS ALIKUWA PAMOJA NA MALAIKA WAKIMTUKUZA ALLAH HUKO MBINGUNI,,BAADA YA KUKAIDI AMRI YA KUMSUJUDIA ADAMU HUYO IBILIS WAKATI MALAIKA WANATEKELEZA AMRI HIYO NDIPO ALIPOLAANIWA NA KUFUKUZWA KATIKA MBINGU YA ALLAH KISHA AKAJIAPIZA KWAMBA LAZIMA AJE KUWAPOTOSHA ADAMU NA KIZAZ CHAKE CHOOTE KITACHOAMUA KUMFUATA

SO,,IBILISI BAADA YA KULAANIWA NDIPO LIKAZALIWA JINA LA SHETANI KWAKE,,SHETANI NI KIUMBE CHENYE LAANA,SO USHETANI NI SIFA HIYOO,,

SHETANI ANAWEZA KUMPOTOSHA MWANADAMU,,,PIA SHETANI ANAWEZA KUMPOTOSHA JINI VILE VILE,,

MAJINI WAOVU HUITWA MASHETANI,,,PIA MWANADAMU MUOVU VILE VILE ANAWEZA KUIVAA SIFA YA SHETANI,

UISLAM HAUAMIN KATIKA NGUVU YA SHETANI KWANI NACHO NI KIUMBE TUH,,UISLAM UNAAMIN KATIKA NGUVU YA MUNGU ALLAH MUUMBA WA MBINGU NA ARDHI

2.KUHUSU ZINAA,,UISLAM NDIYO DINI PEKEE INAYOTAMBUA MAUMBILE YA MWANADAMU NA KUSISITZIA KATIKA NDOA,MTU AMBAE HAJAOA KATIKA UISLAM HARUHUSIWI KUKUTANA NA MWANAMKE KIMWILI HADI AMUOE,,
UZINZ
NI DHAMBI KUBWA KATIKA UISLAM SO HICHO ULICHOKISEMA KWAMBA UISLAM UNAKUMBATIA UZINZ SIO KWELI,

NA MUISLAM MWANAUME AMEPEWA RUKSA KUOA WANAWAKE HADI WANNE ILI MRADI TUH AWEZE KUWA NA UWEZO WA KUWATIMIZIA MAHITAJI YAO YA KIMWILI,CHAKULA,MALAZI,MAVAZI NA KUWATUNZA KWA UJUMLA


SIO LAZIMA ILA NI RUKSA HIYO KAPEWA,,


3.UISLAM UNAKATAZA USHIRIKINA MFANO KWENDA KWA WAGANGA KUPIGA RAMLI,KUROGA WATU,KUFITINISHA WATU NA JAMII,,,NA KILA AINA YA USHIRIKINA UISLAM UNAKATAZA,,KWAIYO ULICHOKISEMA SIYO KWELI,

NA HAKUWA MTUME MUHAMMAD WA KWANZA KATIKA WAJUMBE WA MUNGU KUOA WANAWAKE WEENGI,HAPO KALE MITUME WA MUNGU WALIOPITA KABLA YAKE WEENGI PIA WAPO WALIOA WAKE WEENGI,,MFANO IBRAHIM,,MTUME NA MFALME SULEIMAN NA KADHALIKA,SO SIO JAMBO LA AJABU,,,INFACT NI NATURE IPO HIVYO,,SIKULAZIMISHI KULIKUBALI HILI.

4.HOJA YAKO YA HASIRA HAINA MASHIKO,,,INATEGMEA UNAZUNGUMZIA HASIRA YA AINA GANI,HAIWEZEKANI MFANO WEWE UTOKE HUKO UJE KUNIPIGA BILA SABABU HADI KUNIGHARIMU MAISHA YANGU KISA UKATARAJIA MTU ASIKASIRIKE,AU UNAENDA KUMCHUKULIA MKE WAKE KISHA UKATARAJIA ASIKASIRIKE,,

INFACT UISLAM UNAFUNDISHA WAISLAM KUWA NA SUBIRA NA KUJIZUIA NA HASIRA,KWANI HASIRA NI ZAO LA SHETANI,,KIPO KIPIMO CHA MTU WA KAWAIDA KUWA NA HASIRA,,,HILO LIKO WAZI,

PROPAGANDA DHIDI YA UISLAM HAZIKUANZA LEO,,UMEKUWEPO UISLAM TOKEA KARNE YA 7 HUKO,WAMEONDOKA WATU WALIOKUWA WANAUPIGA VITA NA KUJIFIA ZAO LAKN UISLAM BADO UPO NA UTAENDELEA KUWEPO HADI KIYAMA,

NA WEWE USIEKUWA MUISLAM JITAHID UFUATE KILE UNACHOKIONA KINAFAA KWAKO,UISLAM WAACHIE WENYEWE WAISLAM KAMA WAISLAM WALIVYOKUACHIA WEWE UKRISTO WAKO

JUST MIND YOUR BZNESS THEN EVERYTHING WILL BE JUST FINE

ILA UKIFA HALI YA KUWA SIO MUISLAM,,,OLE WAKO,,,OLE WAKO CHA MOTO UTAKIONA
Ndugu yangu umesema ukweli mtupu,najua hata waislam wanajua ukweli huo ulioandika.
Kama siyo majini Uislam hauwezi kuenea,majini ndiyo mafuta ya kuendesha Uislam kama Roho Mtakatifu alivyo kwa Wakristo.Viongozi wajuu wa kiislam muda wa usiku usiku wanashuka kuzimu kuchukua nguvu ya kipepo na majira ya saa 9 hadi 10 huibuka wakiwa na hiyo nguvu,wanapopiga ile wanaita azana ndio wanavuvia hiyo nguvu ya kipepo ili kuteka eneo husika na watu wake chini ya allah.Hii ndiyo sababu penye misikiti huwa hakuna maendeleo na kuna kila dalili ya ufu.
Pia siyo kweli kwamba uislam unakataza kwenda kwa waganga,hapana hata Mwamedi alienda kwa waganga na uislam pia umejengwa chini ya msingi wa imani ya kiganga.
Swala la zinaa kwa uislam ndiyo kawaida,founder wa uislam Mwamedi hakuweza kushinda zinaa na ndivyo ilivyo kwa followers pia,hii ndiyo sababu wanawafunika wanawake kwasababu wanaume wa kiislam wakiona mwanamke usoni wanawaka tamaa ya kipepo hivyo kupunguza makali ya tamaa inabidi wawafunike.
Pia ukichunguza hawa watu huwa wanakua na hasira sana,wakati mkristo anapozidi kumjua Mungu anakua na unyenyekevu na hekima lakini kwa ndugu zetu kadiri anavyozidi kushika dini mambo yanakua kinyume,utajiuliza kwanini inakua hivi?aJiulize mtu akiwa mtupu akakuinamia ina maana kakulaani,wewe hautakasirika?sasa ile kukasirikiwa nao watu wanachukua hasira na kutokanayo kwenye jamii,ndipo inakua tatizo.
 
Ngoja nami nikapate rost ya kitimoto lakin sina jini wa haliwezi kunisumbua kwasababu ninaye Yesu original.Nakula kitimoto safi na mbinguni naenda.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom