upo mine..?!!
Nipo my dear... Mamboz
hii thread ingependeza kama hao wanaotajwa humu mungeweka picha zao
hamna kitu pale mashauzi tu, na ule mgongo mpana anauanika sijui haoni aibuYaani mtu akiwa na roho mbaya ni vigumu kuona uzuri wake.Zamani nilikua naona anavutia kweli ila siku hizi sijui namuonaje.
halafu mr wake kapata demu texas ama?maana kafuta picha za anniversary na christimass
Mange Kimambi na Sinta hawa wote hawana akili kichwani.
Namshukuru Mungu sina stimu kabisa ya kupita kusoma ujinga wao kwenye viblog vyao uchwara.
Mange angekuwa ni either mdogo wangu ningemshauri afunge mdomo wake kabisa, Baba yake Mzee Kimambi alijiuwa kwa aibu hivi huyu binti anapata wapi gutts za kushambulia watu.
Nadhani ni Mental case.
Mtoto amekwenda Christmas kwa baba yake, akaelezea anavyokua treated kama hg wa watoto, mzungu asivyompenda na mengineyo. Kwakifupi mtoto amekataa kurudi.
Mmhh.
Kwa unavyopenda umbea na kusutana nina uhakika hizo ndo blog zako.
Unatia aibu sana wee lijamaa hivi huoni aibu.Wewe ndio mwanaume pekee anayependa kusutana huku jf.We shauri yako endelea tu kupenda umbea kuna siku utavalishwa underskirt na dera usutwe na hao mashoga zako unaopiga nao umbea.
Punguza umbea wee mwanaume.
Umejuaje hayo yote kama sio umbea wako unakusumbua?
Au ulikuwepo eneo la tukio alivyomalizwa babake mange kuliwa kiboga ukafuatia wewe ila wewe hukujiua sabab uliona tamu?
Ushasutwa mara kibao humu na madem ila umeshindwa kabisa kuacha umbea
Bora mange mental case kuliko wewe gender case.
ndo maana pics za birthday.kaweka za zamani baba ake anaishi wapi
eeeh mbn umemkalia kooni hivi
No,baba yake yupo London,naona alikuwa ndo kawa yaya huk USA,kagoma kurudi kwa mama yake.Kaona bora kuishi na baba yake pamoja na step mom,kuliko kuishi na mama na step dad wakeHapo chacha, baba yake yuko bongo, we malaika yule akatae kukwea pipa kurudi USA mbona ni kubwa kuliko!!
No,baba yake yupo London,naona alikuwa ndo kawa yaya huk USA,kagoma kurudi kwa mama yake.Kaona bora kuishi na baba yake pamoja na step mom,kuliko kuishi na mama na step dad wake
Mm sina shida na nyie wadada kupiga umbea tatizo ni kuona janaume kuunga ushoga na wadada kupiga nao umbea.Mwambieni shoga yenu Matola apunguze umbea.Najua mashoga zake mtamtetea sababu mnafurahia story zake za kimbea.
No,baba yake yupo London,naona alikuwa ndo kawa yaya huk USA,kagoma kurudi kwa mama yake.Kaona bora kuishi na baba yake pamoja na step mom,kuliko kuishi na mama na step dad wake
Mm sina shida na nyie wadada kupiga umbea tatizo ni kuona janaume kuunga ushoga na wadada kupiga nao umbea.Mwambieni shoga yenu Matola apunguze umbea.Najua mashoga zake mtamtetea sababu mnafurahia story zake za kimbea.
ndo maana pics za birthday.kaweka za zamani baba ake anaishi wapi
Hapo chacha, baba yake yuko bongo, we malaika yule akatae kukwea pipa kurudi USA mbona ni kubwa kuliko!!