Dah huu msimu round ya 2 ndo imeharibu kila kitu toka Dec 29 tuna point 51 leo April 11 point 57 kweli tunawakati mgumu
Mwaka kesho tutakuwa Europa maana top four tumeisha ikosa najiuliza sana tatizo msimu ubovu wetu n board, kocha au wachezaji ndo chanzo cha kuvurunda hivi?
Yaan Leo Conte nimeshindwa kumuelewa dakika ya 70 na unamtoa hazard unamuingiza Pedro Kuna Muda unafika Conte sub zake zinaboa mpaka basi na kushangaza pia afu unamuacha morata aliyekuwa anaanguka anguka Karibia mechi yote
Yaan leo kwa kila njia inabid tushinde mech maan tunaweza toka nje ya top 4 ikitokea Tottenham kashinda zid ya crystal palace na kuweka hali ngumu kurud tena
Hivi Conte kila siku anafanya mambo hayo hayo kurudia makosa yake hata hajifunzi. Bila kumpanga bakayoko na Cahill kwenye kikosi hata wakiwa na perfomance mbaya kwenye mechi iliyopita.
Katika mechi mbili tunaruhusu goal 7 kwel Tena kwa team za kawaida na tuna Barcelona,Man U mwez huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.