Mkuu nina imani ila wakati mwingine unaweza usiielewe hii team maana uwanjani hujui watakupa nini na kwa wakati gani
Imani yangu itarudi wakiitoa barcelona maana walinikera sana dhidi ya wattford
Ukiupenda mpira jua kuna ups and downs. Ndo maana nawakubali sana mashabiki wa Arsenal, yaani wameivulia timu yao kwa miaka 23 sasa bila kikombe. Sisi timu inakwama kidogo tu unasikia mtu anakwambia anahama timu. Lakini nafikiri ni kwa sababu wengi wetu ni vijana wadogo tulioanza kushabikia mpira tangu miaka ya 2005. Watu wazima ni wale waliohama Arsenal na Liverpool. Hawa hawawezi kuyaishi maneno ya wimbo wetu i.e kuwa na timu kwenye kiangazi na masika
 
Mkufunzi Antonio Conte amesema kuwa Chelsea "itajaribu kufanya kitu cha kipekee'' na kuitoa Barcelona katika Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya sare 1-1 katika awamu ya kwanza.
Willian aliiweka kifua mbele The Blues lakini Lionel Messi alisawazisha dakika 15 kabla ya mechi kukamilika baada ya makosa ya Andreas Christensen katika mechi ya kufuzu katika robo fainali ya kombe hilo.
Barcelona ambayo iko pointi saba mbele kileleni La Liga haikutekeleza mashambulizi yoyote makali hadi waliposawazisha.
''Tulikuwa tunakaribia kuwafunga," alisema mkufunzi huyo wa Chelsea. ''Tulifanya kosa moja, ni aibu na tumevunjwa moyo na matokeo''.

Chelsea iligonga mwamba wa goli mara mbili huku Willian akitekeleza mashambulizi kutoka nje ya eneo la hatari kabla ya raia huyo wa Brazil kufunga katika jaribio lake la tatu kupitia shambulio alilotekeleza akiwa maguu 20.
Hatahivyo dakika 13 baadaye, Christensen alifanya makosa kwa kutoa pasi mbaya iliochukuliwa na Andres Iniesta aliyeshirikiana na Messi ambaye alifunga bao lake la kwanza la vilabu bingwa dhidi ya klabu hiyo ya London.
Christensen mwenye umri wa miaka 21 alikuwa ameichezea Chelsea mara tatu pekee kabla ya msimu huu lakini ameshirikishwa sana msimu huu huku beki wa kati Gary Cahill akipumzishwa.

Hata hivyo Conte alimtetea beki huyo wa Denmark licha ya makosa yake yalioipatia Barca bao muhimu la ugenini huku awamu ya pili ya mechi ya marudiano ikichezwa tarehe 14 mwezi Machi nchini Uhispania.
''Tulicheza vizuri sana," alisema raia huyo wa Italia.

''Tunazungumzia kuhusu mchezaji mdogo sana. Ni vyema kwamba anaweza kucheza katika mechi kama hii akionekana mchezaji aliyekomaa.
Alikuwa miongoni mwa wachezaji wazuri sana usiku huu. Ni vigumu kumtaja mchezaji mmoja lakini nadhani Christensen alicheza mechi kubwa na nilifurahishwa na mchezo wake. Tulifanya kosa moja lakini tunajua ukicheza na wapinzani kama Messi, Iniesta na Suarez unapofanya makosa unagharamika."

Nini kitafuata?
Chelsea watacheza mechi tatu kabla ya kukutana na Barcelona kwa mechi ya marudiano, mechi hizo zikijumuisha mechi za ugenini Ligi ya Premia dhidi ya klabu mbili za Manchester.
Watakutana na Manchester United Jumapili, 25 Februari (14:05 GMT) na kisha wakutane na Manchester City Jumapili itakayofuata (16:00 GMT).
Barcelona watarejea uwanjani La Liga Jumamosi, 24 Februari kwa mechi ya nyumbani dhidi ya klabu ya Girona ambayo kwa sasa inashikilia nafasi ya nane.
 
FB_IMG_1519445184446.jpg
FB_IMG_1519445212848.jpg
FB_IMG_1519445184446.jpg
FB_IMG_1519445177793.jpg
FB_IMG_1519445157426.jpg
FB_IMG_1519445145894.jpg
FB_IMG_1519445212848.jpg
 
A proud Nigerian mother identified as James Juliet has
dedicated her new born twins to Chelsea Football Club.
According to the new mother who was pregnant for 10
months, the twin baby boys were delivered immediately
Chelsea scored FC Barcelona through Willian during their
Champions League first leg encounter at Stamford bridge on Tuesday, February 20th.

The match finally ended 1-1 following equalizer from Lionel Messi through Andrés Iniesta....

On Behalf of Chelsea Fan ~Congratulations Dear....
FB_IMG_1519480439867.jpg
 
Willian: "I think every person has a purpose here on earth. And my purpose is to be at Chelsea, no matter if I'm on the bench or starting. Sometimes being on the bench is just a moment that will pass. It’s important is to continue training and to keep your head up.“

"I have been playing more games, I have been scoring, I have been helping Chelsea win. I’m very happy with what I’ve been doing here.“
 
Klopp kanituma kasema niwaombee fans wa Chelsea mmuombee conte kwa Mungu apate kutoka na point 3 Leo kama vile mnavyomuombeaga rais wenu magufuli
 
Yaan leo kwa kila njia inabid tushinde mech maan tunaweza toka nje ya top 4 ikitokea Tottenham kashinda zid ya crystal palace na kuweka hali ngumu kurud tena
 
Alietupangia hii fixture mungu anamuona..
Man u, Man City, then Barca? Khaaa
Umesahau mkuu ni Barca, Man u, Man city kisha barca tenahatari sana hapa ndipo mtatujua Chelsea siyo wa mchezo mchezo hapo lazima tuwasulubu kama siyo wote basi ngalau wawili
 
Back
Top Bottom