dabluz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 2,456
- 1,669
Kuna hii beki bado inamakosa yanayo igarimu timu.
Free header jamani daaa
Kuna hii beki bado inamakosa yanayo igarimu timu.
Wenyewe walishajua timu yao ni ndogo"LUKAKU HUWAGA ANAFUNGAGA VITIMU VIDOGO VIDOGO" By Unknown JF Member (Shabiki wa chelsea kipindi Lukaku amesajiliwa)
Goli la Morata hakuotea - lilikuwa goli halali ni kwa vile kibendera kilienda juu na hakuna sheria ya kubatilisha maamuzi ya washika bendera
Hahahaha. William anifurahisha sana alipotaka kusoma kikaratasiHaya nyie viherehere mkiongozwa na kiherehere mwenzenu Willian mlikua mnataka mjue Matic aliandikiwa nini na Morinho na wengine mkafikia hatua kusema aliambiwa wpaki basi..haya someni viherehere
HahahaLingard anawapa hi