Kuna possibility ya mgomo ili conte aondoke.Mie cjui tatzo liko wap
Ndio we huwez mfukuza diego km girl friend wako kwa sms conte gooo Bakayoko gooooKuna possibility ya mgomo ili conte aondoke.
Hakuna mgomo wowote Conte mwenyewe anachangia timu kufanya vibaya sijui kama atamaliza huu mwezi akiwa darajaniKuna possibility ya mgomo ili conte aondoke.
Huyu anatimuliwa hata kabla ya hii matchHabari zitufikie.
Yaani ndani ya dakika 6
Goli 3?
Usalama wa conte upo kwa Barcelona. Akifungwa safari itamuhusu.
Bakayoko na conte watakuwa na mahusiano binafsi.
Hapa coach hatakiwi mkuu ndio maana wanafungwa na hizi team ndogoMie cjui tatzo liko wap
Siku zote kocha anaondoka mchezaji anabakiNdio we huwez mfukuza diego km girl friend wako kwa sms conte gooo Bakayoko goooo
Conte ndiye tatizo kwa kulea jipu badala ya kulitumbua mapema. Bakayoko alikuwa uwanjani kimwili tu, akili yake haikuwepo. Conte alipaswa kumtoa mapema kabla ya kufikwa na yaliyomkuta Bakayoko na kui-cost team. Kwa ujumla kwa sasa timu haina morali ya ushindi tuliyozoea kuiona siku za nyuma. Kutakuwa na tatizo nyuma ya pazia kwenye timu pamoja na uongozi ambalo hatulijui but time will tell, no secret shall remain covered forever!Bakayoko alikuwa hovyo kabla ya redcard huyu ndio kazingua
Bakayoko si ndio mrithi na fundi kuliko Super Nemanja Matic? Au mlisemaje nyie?Ndio we huwez mfukuza diego km girl friend wako kwa sms conte gooo Bakayoko goooo