Huumuungano imebaki kwenye makaratasi ni swala lamuda tu, sidhani Kama wewe unajua vizuri kuliko kina Butiku, Wariobana Dr. Salim waliokuwa kwenye time ya katiba na wakapendekeza serikali tatu
Waziri wa Muungano ni Jaffo yeye ndiye aliyemsifia rais ametatua kero kushinda Marais wote , sizungumzii hotuba ya bunge hili.
Kwa kifupi kero kubwa ya muunganoni usiri wa kufanya maamuzi bila kuwashirikisha wadau ambao ni wananchi.
Na hizo wanazoita kero Wala sio kero Bali ni upendeleo...
Tunachosikia ni mapambio tu rais Samia ametatua kero nyingi za muungano kuliko Marais wote lakini kero hazitajwi ndioaana nimekuuliza wewe unayezijua ututajie.
Upo sahihi watanzania usitaarabu ni zero si wanaume si wanawake si vijana Wala watu wazima wanaona kupanga foleni ni tatizo.
Pia watu wa ulinxi waondolewe itafutwe kampuni nyingine.
Kupasuka kwa Chadema kinaweza kuzaa chama imara cha upinzani kwa sababu ndani ya Chadema wapo wanaotaka mageuzi ya kweli na wapi wanaotaka kushibisha matumbo yao.
Salama ya CCM ni kuwa na Chadema iliyopo
Wakati wabunge 55 au G55 walipotoa hoja yakutaka uwepo wa serikali ya Tanganyika Nyerere aliwazuia kwa hoja wale ni wabunge waliotokana na Chama Cha mapinduzi hivyo hoja yao ilitakiwa ianzie ndani ya chama.
Jaji Warioba akizungumzia rasimu ya mabadiliko ya time ya katiba alisema ni heri...
No 1 na 2 umechemka,hata Robertinho alisema wachezaji waliosajiliwa wenye viwango ni wawili 2 Ngoma na Chemalone.
Ngoma ni kiungo mchezeshaji kuhusu kufungwa magoli mengi tatizo ni combination aliyopata.
Inonga hakuwa tayari kujitolea kwa Simba Kama anavyojitolea timu ya Taifa pia amechomesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.