Tundu Lissu ni mpotoshaji tangu zamani, akikuambia leo ni Jumapili jaribu pia kuangalia vizuri kalenda yako

Tunawasubiri kwa hamu 2025
Hamu ya nini na sehemu nyingi kura mnaiba? Lissu anaweza kuwa yuko au hayuko sawa ni binadamu pia. Na alifafanua vizuri kuhusu hiyo issue.
Kuhusu upotoshaji, hakuna anaefikia rekodi za watu wenu wa Chama Cha Mapinduzi.
Mungu akubariki uache upumbavu,itikia Amin.
 
Hamu ya nini na sehemu nyingi kura mnaiba? Lissu anaweza kuwa yuko au hayuko sawa ni binadamu pia. Na alifafanua vizuri kuhusu hiyo issue.
Kuhusu upotoshaji, hakuna anaefikia rekodi za watu wenu wa Chama Cha Mapinduzi.
Mungu akubariki uache upumbavu,itikia Amin.
Bora kama mmeanza kumwamini Mungu wa Mbinguni
 
Kweli Lissu ndio awe Rais wa JMT?

Are We Serious?
Tuliongozwa na bado tunaongozwa na watu wepesi kichwani katika maeneo kadhaa ya kiutawala na utendaji, jabali la kufikiri na kujenga hoja kama Lissu lishindwe kwa kipi?
Sometimes tushukuru kwa wachache kama yeye wanoweza kuthubutu kuuambia ukweli uongozi uliopo madarakani, sio issue rahisi.
Angeweza kuchukua kipande chake akakausha kama wazee wetu wngine walivyofanya.
 
LISSU ni mwanasiasa muongo, mfitini na mbaguzi kuwahi kutokea katika Taifa hili,

Watanzania lazima muelewe vizuri hulka ya huyu ndugu yetu ambae wengi tunaamini baada ya ile ajali kwa sasa hayuko normal.

Hapo juu Mhe Kafulila David Akihojiwa na Kituo Cha runinga Cha Clouds Plus+ alionesha wazi uongo na Upotoshaji wa Lissu tangu enzi na enzi.

Nimwaka 2020 wakati wa kampeni LISSU huyu huyu alizusha uongo ila namshukuru sana Crde Kafulila alishughulika nae kisawa sawa kama alivyofanya Crde Kinana huko Dodoma.

Leo nampongeza Mhe Kafulila Kwa kumpa za uso na ndio sababu za Mhe Tundu Lissu hakupata kura popote kisa ni huu Uongo Uongo wake nashauri CHADEMA watafute mgombea mwingine 2025.

Alichokisema Mhe Kafulila: -

" Kwanza, nashukuru sasa kuona ndugu yangu Tundu Lissu ameanza kuleta hoja zinazoweza kuanza kujadilika kama mgombea, tofauti na mwanzo ambapo ilikuwa ni masimulizi ambayo kwakweli hayakuwa na lolote la kusaidia maamuzi ya mpiga kura.

Pili, Jana nilifuatilia hotuba yake iliyokosoa masuala kadhaa ambayo nimeona si busara ayatumie kupotosha Watanzania kufanya maamuzi katika misingi ya upotoshaji.

Ili kurahisisha, nimepanga mawazo yangu katika mafungu

1. Lissu anasema Ripoti ya Benki ya Dunia ya Mwaka huu 2020 kuhusu urahisi wa kufanya Biashara( Easy of Doing Business Report 2020) imeishusha Tanzania kutokana na utawala wa JPM.

2. Asichokijua Lissu na wenzake wanaotumia hoja hiyo ni kwamba tayari Benki hiyo hiyo ya dunia (WB), katika taarifa yake ya tarehe ya juzi Agosti 27,2020, imeifuta tathimini hiyo ya Mwaka 2020 na ile ya 2018.

3. Benki ya Dunia imeleza wazi kuwa tathimini hizo zilikuwa na kasoro nyingi za kiuweledi na hivyo kukosa uhalisia.

Hii itoshe tu kusema LISSU ni mwongo wa Karne apuuzwe asiaminiwe wala asipewe kura ".


Rais ni Mzanzibari ni kweli,✓

Sasa naomba kujibiwa haya maswali yangu saba (7) na wanaodhani wao si Wanzibar akiwemo Mhe Tundu Lissu.

1. Je ? Reli hii mpya ya SGR kutoka Dar mpaka Singida kwa Lissu si ni huyu Mama anayekesha akiomba omba pesa "Yalayala" huko World Bank,!! Hivi siku akistaafu na kurudi Zanzibar atakwenda na SGR?

2. Je? SG baada ya kutoa hizo 2,100MG nazo zimemaliza kabisa tatizo la mgao wa Umeme Zanzibar? Mbona hamsemi aliyemaliza tatizo la Umeme ni Mzanzibar?

3. Je, Vituo vya Afya na Zahanati zaidi ya 470 alizojenga ziko Zanzibar? Wanatibiwa watoto na akina mama wa Zanzibar?

4. Je, Mabarabara haya yote yanayojengwa Kila kona nayo yako Zanzibar?

5. Je, hizi TZS 600Bil alizoongeza kwa ajili ya Mikopo ya Elimu ya Juu ni kwaajili ya watoto wa Wazanzibar?

6. Je, Hii Elimu Bure kutoka chekechea mpaka kidato Cha Sita wanaosoma ni Wazanzibar?

7. Je, hii demokrasia mnavyoandamana tena kwenye lami na makofia yenu kama migambo nyie ni Wazanzibar?

====
Mbona ni rahisi sana kukabiliana na Wanasiasa matapeli? Unaeleza tuu haya yeye nizanzibar kama alivyo Mnyiramba Je ,Kati ya Mzanzibari Samia na Lisu yupi amewasaidia Watanganyika wa Ikungi zaidi? Ni Lisu au Samia? 😁😁

Pili Nyerere aliwahi onya watu wabaguzi na wanaochochea mifarakono dizaini ya huyu Jamaa,hanaga jema tangu azaliwe ni kama.ameumbwa Kwa kasoro.

Mwisho nani amewahi sikia kitu Cha maana Lisu anaongea kuhusua ustawi wa Maisha ya watu?

Huwa nawauliza Chadema na narudia leo,Je Katiba Mpya italeta ugali mezani?

Je Tanganyika anayodai Lisu ndio itawaondolea umaskini? Kwanza mtu dizaini ya Lisu akiwa Rais lazima wafanyabiashara wakimbie, uchumi udorore na umaskini uongezeke maana kwake utajiri ni haramu.

Kazi za Mzanzibari zilizowashindwa Watanganyika 👇👇
844861845.jpg
-1252897573.jpg
-1497294542.jpg
464900622.jpg
134955813.jpg
-256572708.jpg
 
Hoja za Lissu ni nzito!

Mbaya zaidi CCM mmetumia zero brains kama Nape na Kinana kufanya counter argument.

Nasikia eti Kinana anataka afanye mdahalo na Lissu publicly?

Hakika itabidi muandae PR team zenu zile za kina Mwashambwa kwa ajili ya kufanya post debate damage control.
Uzito wake ni Upi kama sio kulipalaganyisha tu Taifa?
 
Mbona ni rahisi sana kukabiliana na Wanasiasa matapeli? Unaeleza tuu haya yeye nizanzibar kama alivyo Mnyiramba Je ,Kati ya Mzanzibari Samia na Lisu yupi amewasaidia Watanganyika wa Ikungi zaidi? Ni Lisu au Samia? 😁😁

Pili Nyerere aliwahi onya watu wabaguzi na wanaochochea mifarakono dizaini ya huyu Jamaa,hanaga jema tangu azaliwe ni kama.ameumbwa Kwa kasoro.

Mwisho nani amewahi sikia kitu Cha maana Lisu anaongea kuhusua ustawi wa Maisha ya watu?

Huwa nawauliza Chadema na narudia leo,Je Katiba Mpya italeta ugali mezani?

Je Tanganyika anayodai Lisu ndio itawaondolea umaskini? Kwanza mtu dizaini ya Lisu akiwa Rais lazima wafanyabiashara wakimbie, uchumi udorore na umaskini uongezeke maana kwake utajiri ni haramu.

Kazi za Mzanzibari zilizowashindwa Watanganyika 👇👇View attachment 2985107View attachment 2985108View attachment 2985109View attachment 2985110View attachment 2985111View attachment 2985112
Aise mama anapiga kazi sana
 
Uzito wake ni Upi kama sio kulipalaganyisha tu Taifa?
Mosi, mzanzibar anaweza kumiliki ardhi Tanganyika ila mtanganyika hawezi kumiliki ardhi Zanzibar.

Pili wabunge wa Zanzibar ( wawakilishi) hushiriki katiba bunge la muungano kujadili masuala ya Tanganyika pia hushiriki bunge la Zanzibar(baraza la wawakilishi) kutunga sheria za Zanzibar tu na kupitisha bajeti za Zanzibar tu.

Wizara kama ya afya ya huku Tanganyika waziri wake anadili nayo na wazanzibar kwenye bajeti ila bajeti ya wizara ya afya Zanzibar ni ya wazanzibar tu na ina waziri wake wa afya mzanzibari.


Mzanzibar akienda Tanganyika anaweza kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura na hata pia kugombea nafasi yoyote kisiasa ila mtanganyika ili apate vyote hivyo lazima aishi Zanzibar kipindi kisichopungua miaka 5 na atapatiwa ZanID kumthibitisha ni mkaazi wa Zanzibar.

Ajira za watanganyika zinashindawa na wazanzibari ila ukiona matangazo ya ajira za Zanzibar ni kwa ajili ya Wazanzibar maana yake huko tunatarajia tuwakute kina Makame, Karume n.k ila akina Nswanzugwako, Macha n.k ni mwiko Zanzibar.

Hapo hizo sio hoja?
 
LISSU ni mwanasiasa muongo, mfitini na mbaguzi kuwahi kutokea katika Taifa hili,

Watanzania lazima muelewe vizuri hulka ya huyu ndugu yetu ambae wengi tunaamini baada ya ile ajali kwa sasa hayuko normal.

Hapo juu Mhe Kafulila David Akihojiwa na Kituo Cha runinga Cha Clouds Plus+ alionesha wazi uongo na Upotoshaji wa Lissu tangu enzi na enzi.

Nimwaka 2020 wakati wa kampeni LISSU huyu huyu alizusha uongo ila namshukuru sana Crde Kafulila alishughulika nae kisawa sawa kama alivyofanya Crde Kinana huko Dodoma.

Leo nampongeza Mhe Kafulila Kwa kumpa za uso na ndio sababu za Mhe Tundu Lissu hakupata kura popote kisa ni huu Uongo Uongo wake nashauri CHADEMA watafute mgombea mwingine 2025.

Alichokisema Mhe Kafulila: -

" Kwanza, nashukuru sasa kuona ndugu yangu Tundu Lissu ameanza kuleta hoja zinazoweza kuanza kujadilika kama mgombea, tofauti na mwanzo ambapo ilikuwa ni masimulizi ambayo kwakweli hayakuwa na lolote la kusaidia maamuzi ya mpiga kura.

Pili, Jana nilifuatilia hotuba yake iliyokosoa masuala kadhaa ambayo nimeona si busara ayatumie kupotosha Watanzania kufanya maamuzi katika misingi ya upotoshaji.

Ili kurahisisha, nimepanga mawazo yangu katika mafungu

1. Lissu anasema Ripoti ya Benki ya Dunia ya Mwaka huu 2020 kuhusu urahisi wa kufanya Biashara( Easy of Doing Business Report 2020) imeishusha Tanzania kutokana na utawala wa JPM.

2. Asichokijua Lissu na wenzake wanaotumia hoja hiyo ni kwamba tayari Benki hiyo hiyo ya dunia (WB), katika taarifa yake ya tarehe ya juzi Agosti 27,2020, imeifuta tathimini hiyo ya Mwaka 2020 na ile ya 2018.

3. Benki ya Dunia imeleza wazi kuwa tathimini hizo zilikuwa na kasoro nyingi za kiuweledi na hivyo kukosa uhalisia.

Hii itoshe tu kusema LISSU ni mwongo wa Karne apuuzwe asiaminiwe wala asipewe kura ".


Rais ni Mzanzibari ni kweli,✓

Sasa naomba kujibiwa haya maswali yangu saba (7) na wanaodhani wao si Wanzibar akiwemo Mhe Tundu Lissu.

1. Je ? Reli hii mpya ya SGR kutoka Dar mpaka Singida kwa Lissu si ni huyu Mama anayekesha akiomba omba pesa "Yalayala" huko World Bank,!! Hivi siku akistaafu na kurudi Zanzibar atakwenda na SGR?

2. Je? SG baada ya kutoa hizo 2,100MG nazo zimemaliza kabisa tatizo la mgao wa Umeme Zanzibar? Mbona hamsemi aliyemaliza tatizo la Umeme ni Mzanzibar?

3. Je, Vituo vya Afya na Zahanati zaidi ya 470 alizojenga ziko Zanzibar? Wanatibiwa watoto na akina mama wa Zanzibar?

4. Je, Mabarabara haya yote yanayojengwa Kila kona nayo yako Zanzibar?

5. Je, hizi TZS 600Bil alizoongeza kwa ajili ya Mikopo ya Elimu ya Juu ni kwaajili ya watoto wa Wazanzibar?

6. Je, Hii Elimu Bure kutoka chekechea mpaka kidato Cha Sita wanaosoma ni Wazanzibar?

7. Je, hii demokrasia mnavyoandamana tena kwenye lami na makofia yenu kama migambo nyie ni Wazanzibar?

====
Kafulila ni habari nyingine kabisa
 
LISSU ni mwanasiasa muongo, mfitini na mbaguzi kuwahi kutokea katika Taifa hili,

Watanzania lazima muelewe vizuri hulka ya huyu ndugu yetu ambae wengi tunaamini baada ya ile ajali kwa sasa hayuko normal.

Hapo juu Mhe Kafulila David Akihojiwa na Kituo Cha runinga Cha Clouds Plus+ alionesha wazi uongo na Upotoshaji wa Lissu tangu enzi na enzi.

Nimwaka 2020 wakati wa kampeni LISSU huyu huyu alizusha uongo ila namshukuru sana Crde Kafulila alishughulika nae kisawa sawa kama alivyofanya Crde Kinana huko Dodoma.

Leo nampongeza Mhe Kafulila Kwa kumpa za uso na ndio sababu za Mhe Tundu Lissu hakupata kura popote kisa ni huu Uongo Uongo wake nashauri CHADEMA watafute mgombea mwingine 2025.

Alichokisema Mhe Kafulila: -

" Kwanza, nashukuru sasa kuona ndugu yangu Tundu Lissu ameanza kuleta hoja zinazoweza kuanza kujadilika kama mgombea, tofauti na mwanzo ambapo ilikuwa ni masimulizi ambayo kwakweli hayakuwa na lolote la kusaidia maamuzi ya mpiga kura.

Pili, Jana nilifuatilia hotuba yake iliyokosoa masuala kadhaa ambayo nimeona si busara ayatumie kupotosha Watanzania kufanya maamuzi katika misingi ya upotoshaji.

Ili kurahisisha, nimepanga mawazo yangu katika mafungu

1. Lissu anasema Ripoti ya Benki ya Dunia ya Mwaka huu 2020 kuhusu urahisi wa kufanya Biashara( Easy of Doing Business Report 2020) imeishusha Tanzania kutokana na utawala wa JPM.

2. Asichokijua Lissu na wenzake wanaotumia hoja hiyo ni kwamba tayari Benki hiyo hiyo ya dunia (WB), katika taarifa yake ya tarehe ya juzi Agosti 27,2020, imeifuta tathimini hiyo ya Mwaka 2020 na ile ya 2018.

3. Benki ya Dunia imeleza wazi kuwa tathimini hizo zilikuwa na kasoro nyingi za kiuweledi na hivyo kukosa uhalisia.

Hii itoshe tu kusema LISSU ni mwongo wa Karne apuuzwe asiaminiwe wala asipewe kura ".


Rais ni Mzanzibari ni kweli,✓

Sasa naomba kujibiwa haya maswali yangu saba (7) na wanaodhani wao si Wanzibar akiwemo Mhe Tundu Lissu.

1. Je ? Reli hii mpya ya SGR kutoka Dar mpaka Singida kwa Lissu si ni huyu Mama anayekesha akiomba omba pesa "Yalayala" huko World Bank,!! Hivi siku akistaafu na kurudi Zanzibar atakwenda na SGR?

2. Je? SG baada ya kutoa hizo 2,100MG nazo zimemaliza kabisa tatizo la mgao wa Umeme Zanzibar? Mbona hamsemi aliyemaliza tatizo la Umeme ni Mzanzibar?

3. Je, Vituo vya Afya na Zahanati zaidi ya 470 alizojenga ziko Zanzibar? Wanatibiwa watoto na akina mama wa Zanzibar?

4. Je, Mabarabara haya yote yanayojengwa Kila kona nayo yako Zanzibar?

5. Je, hizi TZS 600Bil alizoongeza kwa ajili ya Mikopo ya Elimu ya Juu ni kwaajili ya watoto wa Wazanzibar?

6. Je, Hii Elimu Bure kutoka chekechea mpaka kidato Cha Sita wanaosoma ni Wazanzibar?

7. Je, hii demokrasia mnavyoandamana tena kwenye lami na makofia yenu kama migambo nyie ni Wazanzibar?

====
Ila Leo kweli ni jumapili asema tu
 
Back
Top Bottom