Kamari yatafuna Taifa kimya kimya, Serikali ilizazame hili Kwa makini.

Kamari imenirudisha nyuma sana imenisabishia madeni Kila Kona.
Nimepoteza marafiki.
Mungu ingilia kati Kwa uwezo wangu nimefeli.
Pole ndugu,

Serikali imechangia hili Kwa kupunguza udhibiti katika biashara hii haramu,

Mrudie MUNGU, ulipe ZAKA Badala ya betting, MUNGU atarudisha vyote vilivyopotea.

Ubarikiwe 🙏
 
Betting ni ugonjwa ambao unahitaji matibabu ''Process'' ili kupona ugonjwa huo.

Maisha ya sasa yenyewe ni kama betting Tu

So inategemea unabet kwenye mpira au kwenye Maisha

Mtu kasoma udactari miaka 6 anakosa kazi anaenda kuwa dereva wa malori hiyo kama sio betting ya Maisha ni nini?

Sasa hivi % kubwa ya bodaboda ni graduate wa vyuo vikuu
 
Salaam,Shalom!!

Nimesoma tafiti iliyofanywa na Taasisi inayotambulika Kwa Jina la SAUTI KUBWA: Isemayo. " Kamari yatafuna Taifa kimya kimya" iliyoandikwa na mwandishi aitwaye, Arodia Peter , makala hiyo imeandikwa 24 April 2024.

Kwa uchache nasummarize;

Ripoti ya Taasisi ya Utafiti na kupunguza Umaskini Tanzania ( REPOA) ya mwaka 2019, inasema, VYUO vyetu Kwa ujumla wake, vinatoa wahitimu Milioni Moja 1,000,000 Kila mwaka ukilinganisha na nafasi 250,000 zitolewazo na Serikali Kila mwaka.

Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS) katika Ripoti yake ya mwaka 2017/2018, inaonyesha kuwa ajira katika sekta binafsi ilishuka Kutoka nafasi 239,017 kutoka 2016/2017 Hadi ajira 137,054 mwaka 2017/2018.

Madhara ya Michezo ya kubahatisha nchini imethibitika inapunguza GDP ya Taifa sababu inatengeneza uraibu hivyo kupunguza nguvu ya kufanya KAZI na kuwaaminisha vijana kuwa betting ni mojawapo ya ajira inayoweza Kutoa kipato.

.............Mwisho wa kunukuu.......

Huu ni mwaka 2024, tatizo limeongezeka zaidi, vijana Kila mwaka wanaingia mtaani, Serikali haijishughulishi kunasaidia kupata ajira Rasmi na zisizo rasmi, wanaruhusu betting utamalaki Ili iwapunbaze wasidai Ajira.

-CHADEMA na CCM wote Kwa asilimia kubwa, wameunganishwa katika mfumo huu hadaa wa betting na hawastuki kupaza sauti.

- Simba na Yanga, asilimia kubwa wanachama wao wanabet, Kila siku wanapeleka pesa huko.

- Boda Boda na vijana wengi sasa ni kubeti Kwa kwenda mbele, wapo wanaobet Hadi 5,000 Kila siku.

- Wanafunzi kuanzia ngazi ya msingi, sekondari, na VYUO wanabet. Wanatumia boom kubeti, wa msingi na sekondari, wanatumia pocket money kubeti, nani wa kuokoa kizazi hiki?

- Wavuvi, bankers, sekta ya biashara, vauza vioski kina mangi wanabet,wakulima wanabet, kiufupi hakuna sekta iliyobaguliwa na kampuni za kubeti.


USHAURI: Ikiwa Serikali imeona Betting ni chanzo kimojawapo Cha ajira nchini na Kodi, itoke na kuwapa TUZO na kuwapongeza Kwa KAZI nzuri ya kuimarisha Uchumi wa Taifa Kwa kutengeneza ajira Rasmi na zisizo rasmi.

KARIBUNI 🙏, Kwa maoni na ushauri kuhusiana na sekta hii muhimu inayoibukia na kuongoza Kutoa fursa za Uchumi wa Hasa vijana ijulikanayo kama "UCHUMI WA KUBAHATISHA".

Karibuni 🙏.
UNAONGOLEA SERIKALI GANI?
 
Salaam,Shalom!!

Nimesoma tafiti iliyofanywa na Taasisi inayotambulika Kwa Jina la SAUTI KUBWA: Isemayo. " Kamari yatafuna Taifa kimya kimya" iliyoandikwa na mwandishi aitwaye, Arodia Peter , makala hiyo imeandikwa 24 April 2024.

Kwa uchache nasummarize;

Ripoti ya Taasisi ya Utafiti na kupunguza Umaskini Tanzania ( REPOA) ya mwaka 2019, inasema, VYUO vyetu Kwa ujumla wake, vinatoa wahitimu Milioni Moja 1,000,000 Kila mwaka ukilinganisha na nafasi 250,000 zitolewazo na Serikali Kila mwaka.

Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS) katika Ripoti yake ya mwaka 2017/2018, inaonyesha kuwa ajira katika sekta binafsi ilishuka Kutoka nafasi 239,017 kutoka 2016/2017 Hadi ajira 137,054 mwaka 2017/2018.

Madhara ya Michezo ya kubahatisha nchini imethibitika inapunguza GDP ya Taifa sababu inatengeneza uraibu hivyo kupunguza nguvu ya kufanya KAZI na kuwaaminisha vijana kuwa betting ni mojawapo ya ajira inayoweza Kutoa kipato.

.............Mwisho wa kunukuu.......

Huu ni mwaka 2024, tatizo limeongezeka zaidi, vijana Kila mwaka wanaingia mtaani, Serikali haijishughulishi kunasaidia kupata ajira Rasmi na zisizo rasmi, wanaruhusu betting utamalaki Ili iwapunbaze wasidai Ajira.

-CHADEMA na CCM wote Kwa asilimia kubwa, wameunganishwa katika mfumo huu hadaa wa betting na hawastuki kupaza sauti.

- Simba na Yanga, asilimia kubwa wanachama wao wanabet, Kila siku wanapeleka pesa huko.

- Boda Boda na vijana wengi sasa ni kubeti Kwa kwenda mbele, wapo wanaobet Hadi 5,000 Kila siku.

- Wanafunzi kuanzia ngazi ya msingi, sekondari, na VYUO wanabet. Wanatumia boom kubeti, wa msingi na sekondari, wanatumia pocket money kubeti, nani wa kuokoa kizazi hiki?

- Wavuvi, bankers, sekta ya biashara, vauza vioski kina mangi wanabet,wakulima wanabet, kiufupi hakuna sekta iliyobaguliwa na kampuni za kubeti.


USHAURI: Ikiwa Serikali imeona Betting ni chanzo kimojawapo Cha ajira nchini na Kodi, itoke na kuwapa TUZO na kuwapongeza Kwa KAZI nzuri ya kuimarisha Uchumi wa Taifa Kwa kutengeneza ajira Rasmi na zisizo rasmi.

KARIBUNI , Kwa maoni na ushauri kuhusiana na sekta hii muhimu inayoibukia na kuongoza Kutoa fursa za Uchumi wa Hasa vijana ijulikanayo kama "UCHUMI WA KUBAHATISHA".

Karibuni .
KAMARI IINGIZWE KWENYE ILANI YA CCM YA 2025/2030 ILI VIJANA WENGI WAHAMASISHWE KUCHEZA na CCM IKUSANYE KODI ZA KUTOSHA
 
Nimesoma tafiti iliyofanywa na Taasisi inayotambulika Kwa Jina la SAUTI KUBWA: Isemayo. " Kamari yatafuna Taifa kimya kimya" iliyoandikwa na mwandishi aitwaye, Arodia Peter , makala hiyo imeandikwa 24 April 2024.

Kwa uchache nasummarize;

Ripoti ya Taasisi ya Utafiti na kupunguza Umaskini Tanzania ( REPOA) ya mwaka 2019, inasema, VYUO vyetu Kwa ujumla wake, vinatoa wahitimu Milioni Moja 1,000,000 Kila mwaka ukilinganisha na nafasi 250,000 zitolewazo na Serikali Kila mwaka.
Kamari zenyewe ni za Mwigulu unategemea nini
 
Back
Top Bottom