Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,312
- 10,378
Mchane asigawe connection.Password lazima nimpe hata mimi nikienda ofisini kwake natumia wifi yake, kuna muda tunatumiana large file
Au tengeneza account ya guest na limit user. So unakua na account mbili moja yako nyingine ya guest.