Sasa na hao watoto wa baba kuondoka na kubadili mpk jina la mwisho.
Bro wangu alikutana na mmoja usa. Wapo fresh tuu na familia yako ila ndo hivyo wapo tuu huko. Hkn mpango hata wa kurudi
Kwa ubande mwingine utasema yesu.
Ile sheria ya kusema watoto hawana makosa. Ipo sahihi.
Ila inachukuliwa fursa na madanga.
Kupata mgao.
Na mara nyingi wanawake wanaozaa na wanaume za watu , lengo lake kubwa ni kuvizia mali za yule baba, alizoshilikiana na mke wake kuzijenga.
Bro wangu yupo USA,
Alikutana na mtoto wao mmoja anaishi Washington DC.
Ameoa mzungu na ana watoto wa kiume 2.
Anafanya kazi kwenye bank moja moja ameajiri kabisa.
Daa bro alimwambia mzee pale wanalipa mshahara mzuri kweli kama $25,000/= kwa mwezi kwa jumla. Ila yeye anaelimu kubwa.
ntundaga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.