mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,433
- 5,031
hadi mt...mb mara 15 ndio tayari mkeAta demu wako au Hadi umuoe?
hadi mt...mb mara 15 ndio tayari mkeAta demu wako au Hadi umuoe?
Kwa mtazamo wangu suala la mwanamke kucheat au kugawa mbususu kwa wenye uhitaji limekuwa suala la kawaida kwa dunia ya sasa chanzo ni tamaa na njaa.Hii hapa ni ngumu kumeza ni kwa ajili ya wanaume, for men saikoloji mwanamke akikusaliti au akikucheat achana nae mara moja , hata kama akikupa sababu yoyote ile.
Mapenzi kwa mwanamke(achana na malaya) it involves not only a body, goes way deeper kuliko unavyofikiria.
Kitendo cha mwanamke kufanya inahitaji emotions,feelings,spirit na nafsi yake.Kwa Mwanaume anaweza lala ata ana ukuta as long as kuna kitobo kwsbb it only involve a body,ndo maan mwanaume unaweza kuta ana mke mzuri anampenda,na watoto na familia. Lkn akalala na mtu ambaye five minutes akishaondoka hamkumbk ata kama alilala naye.
Men saikoloji kuhusu mapenzi ebu kwanza fikiria hichi kitu umeshawahi kuona watu wanapenda lakini wameenda kuvunja ndoa yao,wanasema I still love him lakini hatuwezi ishi nyumba moja but i still love au baada ya kuacha utakuta mwanamke anasem i still love him but braa braa nying hapo.
Mapenzi sio kitu peke ambacho kinashikilia watu wawili pamoja it involves more than that hasa kwa upande wa mwanamke, na ndo maan mwanamke anawez kufahamu kuwa wewe uko na mahusiano mawili, au ata matatu . Lkn yeye bado hacheat kwasababu kucheat kwa mwanamke sio kwenda kutoa tu mwili inainvolve vitu vingi kama nilivyosema sema hapo juu mpaka mwanamke ajikabizi kwa mwanaume mwingine.
Baada ya mwanamke kujikabizi kwa mwanaume ile heshima yako na utu wako inapotea, ata kama mkiombana msamaha akalia, akajigalalaza hapo chini,akasema hatorudia atakucheat tena. The day
akipata nafasi ya kufanya icho kitu atakifanya tena.sasa kabla hujaumia zaidi au kufanya future mistake ambayo inawez kusababisha kupata mtoto ambye sio wako.But if a woman cheats you leave here asap, na usisimp usiwe weak,akikucheat tafuta mtu mwingine jiumbe vizuri au jitafute ili lisitoke jambo kama lilo, unaweza kuta hayo mazingira ya kucheatiwa uliyatafuta mwenyewe either ulikua haupo vzr kiuchumi na braa braa nyingne hapo.
Siku nyingine tutaongelea kwanini wanaume inawauma sana ukisikia
Mke wako au mwanamke wako kalala na mwanaume mwingine,hicho kitendo hakitoki kwenye akili ya mwanaume.
Sindano
Wacha we😂😂😂Naunga mkono hoja, mwanamke msaliti ni wa kumpa talaka. Ukiamua kumsamehe pole sana.
Teh teh teeeeh!Usimuache bali mpandishe cheo awe tu mke mkubwa apakie kama zilipendwa, lakini mahaba na tamu yote unaipata na kuitoa kwa mke mdogo...
Ila mpka upate ushahidi 100%Utakuwa unatafuta maradhi ndugu yangu, wanawake wengi linapokuja jambo la mahusiano huwa hawana decisions wanazosimamia, anachoamua mwanaume ndiyo mara nyingi huwa wanafata, ukisema no condoms wanaweza kutii hata kama wanafahamu inaweza kuwa hatari. Mie nilishajiwekea msimamo, akicheat off she go, tofauti na hapo mnaweza kuacha watoto mayatima.
Bado ujasema mkuu...😂😂😂😂Hii hapa ni ngumu kumeza ni kwa ajili ya wanaume, for men saikoloji mwanamke akikusaliti au akikucheat achana nae mara moja , hata kama akikupa sababu yoyote ile.
Mapenzi kwa mwanamke(achana na malaya) it involves not only a body, goes way deeper kuliko unavyofikiria.
Kitendo cha mwanamke kufanya inahitaji emotions,feelings,spirit na nafsi yake.Kwa Mwanaume anaweza lala ata ana ukuta as long as kuna kitobo kwsbb it only involve a body,ndo maan mwanaume unaweza kuta ana mke mzuri anampenda,na watoto na familia. Lkn akalala na mtu ambaye five minutes akishaondoka hamkumbk ata kama alilala naye.
Men saikoloji kuhusu mapenzi ebu kwanza fikiria hichi kitu umeshawahi kuona watu wanapenda lakini wameenda kuvunja ndoa yao,wanasema I still love him lakini hatuwezi ishi nyumba moja but i still love au baada ya kuacha utakuta mwanamke anasem i still love him but braa braa nying hapo.
Mapenzi sio kitu peke ambacho kinashikilia watu wawili pamoja it involves more than that hasa kwa upande wa mwanamke, na ndo maan mwanamke anawez kufahamu kuwa wewe uko na mahusiano mawili, au ata matatu . Lkn yeye bado hacheat kwasababu kucheat kwa mwanamke sio kwenda kutoa tu mwili inainvolve vitu vingi kama nilivyosema sema hapo juu mpaka mwanamke ajikabizi kwa mwanaume mwingine.
Baada ya mwanamke kujikabizi kwa mwanaume ile heshima yako na utu wako inapotea, ata kama mkiombana msamaha akalia, akajigalalaza hapo chini,akasema hatorudia atakucheat tena. The day
akipata nafasi ya kufanya icho kitu atakifanya tena.sasa kabla hujaumia zaidi au kufanya future mistake ambayo inawez kusababisha kupata mtoto ambye sio wako.But if a woman cheats you leave here asap, na usisimp usiwe weak,akikucheat tafuta mtu mwingine jiumbe vizuri au jitafute ili lisitoke jambo kama lilo, unaweza kuta hayo mazingira ya kucheatiwa uliyatafuta mwenyewe either ulikua haupo vzr kiuchumi na braa braa nyingne hapo.
Siku nyingine tutaongelea kwanini wanaume inawauma sana ukisikia
Mke wako au mwanamke wako kalala na mwanaume mwingine,hicho kitendo hakitoki kwenye akili ya mwanaume.
Sindano
Wewe si ulizaa nje ya ndoa ulisolve vipi na mkeo???Ata demu wako au Hadi umuoe?
Teh teh teeeeh!
Waaalaaa! Mnanifurahisha tu😂Cheko lina jambo hili 😊
Kwani sababu inayomfanya mwanaume kucheat haitamfanya arudie kucheat au mwanaume ni haki yake kucheatHao wapo ila ni wachache sana. Na ikitokea hao wachache wamecheat, hawez kucheat mwanaume wake ukiwa upo karibu, labda uwe upo mbali na muwe Kuna ugomvi. Na pia ni lazima ashauriwe na mashoga zake. Lakin under norma circumstances, mwanamke kucheat hata kama upo mbali na kwa sababu yoyote Ile, sio salama kwa wewe mwanaume kimwili na kiroho. Hiyo sababu aliyotumia kucheat je haitajirudia Tena? Maisha ni mzunguko na makosa hujirudia.