Mwanamke akikusaliti na mwanaume mwingine muache mara moja

Hii hapa ni ngumu kumeza ni kwa ajili ya wanaume, for men saikoloji mwanamke akikusaliti au akikucheat achana nae mara moja , hata kama akikupa sababu yoyote ile.

Mapenzi kwa mwanamke(achana na malaya) it involves not only a body, goes way deeper kuliko unavyofikiria.
Kitendo cha mwanamke kufanya inahitaji emotions,feelings,spirit na nafsi yake.Kwa Mwanaume anaweza lala ata ana ukuta as long as kuna kitobo kwsbb it only involve a body,ndo maan mwanaume unaweza kuta ana mke mzuri anampenda,na watoto na familia. Lkn akalala na mtu ambaye five minutes akishaondoka hamkumbk ata kama alilala naye.

Men saikoloji kuhusu mapenzi ebu kwanza fikiria hichi kitu umeshawahi kuona watu wanapenda lakini wameenda kuvunja ndoa yao,wanasema I still love him lakini hatuwezi ishi nyumba moja but i still love au baada ya kuacha utakuta mwanamke anasem i still love him but braa braa nying hapo.

Mapenzi sio kitu peke ambacho kinashikilia watu wawili pamoja it involves more than that hasa kwa upande wa mwanamke, na ndo maan mwanamke anawez kufahamu kuwa wewe uko na mahusiano mawili, au ata matatu . Lkn yeye bado hacheat kwasababu kucheat kwa mwanamke sio kwenda kutoa tu mwili inainvolve vitu vingi kama nilivyosema sema hapo juu mpaka mwanamke ajikabizi kwa mwanaume mwingine.

Baada ya mwanamke kujikabizi kwa mwanaume ile heshima yako na utu wako inapotea, ata kama mkiombana msamaha akalia, akajigalalaza hapo chini,akasema hatorudia atakucheat tena. The day
akipata nafasi ya kufanya icho kitu atakifanya tena.sasa kabla hujaumia zaidi au kufanya future mistake ambayo inawez kusababisha kupata mtoto ambye sio wako.But if a woman cheats you leave here asap, na usisimp usiwe weak,akikucheat tafuta mtu mwingine jiumbe vizuri au jitafute ili lisitoke jambo kama lilo, unaweza kuta hayo mazingira ya kucheatiwa uliyatafuta mwenyewe either ulikua haupo vzr kiuchumi na braa braa nyingne hapo.

Siku nyingine tutaongelea kwanini wanaume inawauma sana ukisikia
Mke wako au mwanamke wako kalala na mwanaume mwingine,hicho kitendo hakitoki kwenye akili ya mwanaume.
Sindano
Kwa mtazamo wangu suala la mwanamke kucheat au kugawa mbususu kwa wenye uhitaji limekuwa suala la kawaida kwa dunia ya sasa chanzo ni tamaa na njaa.
Ndio maana simshauri mtu kuoa hovyo hovyo kwa haya maisha bila kumchunguza na kumjua vizuri bimti
Maana asilimia kubwa ya wanawake ni wadangaji
 
Mwanamke malaya hafai ila hii ya kusema mwanamke mpaka awe deep ndo alale na mwanaume mwingine huwa tunajidanganya.

Mwanamke anaweza lala na mwanaume sababu ya nyege zake tu na baada ya hapo asitake tena kumuona huyo mwanaume.

By the way ukitaka kujua mwanamke anaweza kulala na wewe bila mapenzi yoyote mkute akiwa na shida ya rejesho vikoba siku ya deadline mwambie alifuate rejesho nyumbani kwako, atakachokifanya akimaliza usimpe rejesho sababu keshakupenda, mwombe tena siku nyingine akupe sababu kakupenda.
 
Naona mnavyojipa nafasi ya kuwanyanyasa wanawake kisa akicheat ataachwa, mara nyingi sababu ya wanawake kucheat zinatokana na wanaume au waume zao, nyie semeni tu ila mpaka ugundue mwisho wa dunia huu hapa, ingekuwa rahisi kugundua watu wasingelea watoto wa nje bila kujua
 
Utakuwa unatafuta maradhi ndugu yangu, wanawake wengi linapokuja jambo la mahusiano huwa hawana decisions wanazosimamia, anachoamua mwanaume ndiyo mara nyingi huwa wanafata, ukisema no condoms wanaweza kutii hata kama wanafahamu inaweza kuwa hatari. Mie nilishajiwekea msimamo, akicheat off she go, tofauti na hapo mnaweza kuacha watoto mayatima.
Ila mpka upate ushahidi 100%
 
Mwanamke msaliti ukimuacha unapata amani ya nafsi,hata kama utamuacha lakin mtakuwa bado mnakutana na kunyanduana huku ukimchukulia kama michepuko mingine utapata amani sana,ila tu uwe umemuacha kutoka moyoni haijalishi ulimpenda kiasi gani.ikiwa umemuacha kutoka moyoni unapata amani sana kuliko ukimsamehe na mkaendelea kuishi...unaweza tu kumsamehe endapo chanzo cha kumfanya akusaliti ni wewe mwenyewe ndio umesababisha tena kwa sababu zenye mashiko,unaweza kumsamehe ukabadilika wewe kwanza naye kama ana mapenzi ya kweli atajuta na kurudi kwenye njia kuu kiukweliukweli..ila mimi binafsi siwezi kumsamehe ikiwa nina uhakika 100 asilimia kuwa huyo jamaa yake aliipitisha pale ninapopitishaga mimi,labda kusiwe na ushahidi kamilifu.
 
Hii hapa ni ngumu kumeza ni kwa ajili ya wanaume, for men saikoloji mwanamke akikusaliti au akikucheat achana nae mara moja , hata kama akikupa sababu yoyote ile.

Mapenzi kwa mwanamke(achana na malaya) it involves not only a body, goes way deeper kuliko unavyofikiria.
Kitendo cha mwanamke kufanya inahitaji emotions,feelings,spirit na nafsi yake.Kwa Mwanaume anaweza lala ata ana ukuta as long as kuna kitobo kwsbb it only involve a body,ndo maan mwanaume unaweza kuta ana mke mzuri anampenda,na watoto na familia. Lkn akalala na mtu ambaye five minutes akishaondoka hamkumbk ata kama alilala naye.

Men saikoloji kuhusu mapenzi ebu kwanza fikiria hichi kitu umeshawahi kuona watu wanapenda lakini wameenda kuvunja ndoa yao,wanasema I still love him lakini hatuwezi ishi nyumba moja but i still love au baada ya kuacha utakuta mwanamke anasem i still love him but braa braa nying hapo.

Mapenzi sio kitu peke ambacho kinashikilia watu wawili pamoja it involves more than that hasa kwa upande wa mwanamke, na ndo maan mwanamke anawez kufahamu kuwa wewe uko na mahusiano mawili, au ata matatu . Lkn yeye bado hacheat kwasababu kucheat kwa mwanamke sio kwenda kutoa tu mwili inainvolve vitu vingi kama nilivyosema sema hapo juu mpaka mwanamke ajikabizi kwa mwanaume mwingine.

Baada ya mwanamke kujikabizi kwa mwanaume ile heshima yako na utu wako inapotea, ata kama mkiombana msamaha akalia, akajigalalaza hapo chini,akasema hatorudia atakucheat tena. The day
akipata nafasi ya kufanya icho kitu atakifanya tena.sasa kabla hujaumia zaidi au kufanya future mistake ambayo inawez kusababisha kupata mtoto ambye sio wako.But if a woman cheats you leave here asap, na usisimp usiwe weak,akikucheat tafuta mtu mwingine jiumbe vizuri au jitafute ili lisitoke jambo kama lilo, unaweza kuta hayo mazingira ya kucheatiwa uliyatafuta mwenyewe either ulikua haupo vzr kiuchumi na braa braa nyingne hapo.

Siku nyingine tutaongelea kwanini wanaume inawauma sana ukisikia
Mke wako au mwanamke wako kalala na mwanaume mwingine,hicho kitendo hakitoki kwenye akili ya mwanaume.
Sindano
Bado ujasema mkuu...😂😂😂😂

"""kwasababu kucheat kwa mwanamke sio kwenda kutoa tu mwili inainvolve vitu vingi kama nilivyosema sema hapo juu mpaka mwanamke ajikabizi kwa mwanaume mwingine."""
Hapa weka clear mkuu
 
"""unaweza tu kumsamehe endapo chanzo cha kumfanya akusaliti ni wewe mwenyewe ndio umesababisha tena kwa sababu zenye mashiko,unaweza kumsamehe ukabadilika wewe kwanza naye kama ana mapenzi ya kweli atajuta na kurudi kwenye njia kuu kiukweliukwel""

Hii ni ukweli kabisa Mkushi Mbishi na hapa akirudi huwa ana ingia mazima aiseeee na hapo ndo mda mzuri wa wewe kufanya yako 😂😂😂🙌🙌
 
Hao wapo ila ni wachache sana. Na ikitokea hao wachache wamecheat, hawez kucheat mwanaume wake ukiwa upo karibu, labda uwe upo mbali na muwe Kuna ugomvi. Na pia ni lazima ashauriwe na mashoga zake. Lakin under norma circumstances, mwanamke kucheat hata kama upo mbali na kwa sababu yoyote Ile, sio salama kwa wewe mwanaume kimwili na kiroho. Hiyo sababu aliyotumia kucheat je haitajirudia Tena? Maisha ni mzunguko na makosa hujirudia.
Kwani sababu inayomfanya mwanaume kucheat haitamfanya arudie kucheat au mwanaume ni haki yake kucheat

Ukiniuliza Mimi naona mwanaume ndo anasababisha hasara kubwa anapocheat. Mwanaume anacheat na mchepuko anapewa limbwata anaisahau familia yake anaitelekeza mama na watoto wanaanza kuwa ombaomba, hasara hii unaweza kuilinganisha na hasara gani inayosababishwa na mwanamke kucheat?
 
"""unaweza tu kumsamehe endapo chanzo cha kumfanya akusaliti ni wewe mwenyewe ndio umesababisha tena kwa sababu zenye mashiko,unaweza kumsamehe ukabadilika wewe kwanza naye kama ana mapenzi ya kweli atajuta na kurudi kwenye njia kuu kiukweliukwel

Mwanamke aliesaliti akasamehewa, hujenga tabia ya ntasamehewa tena. Atafanya juu chin trick aliyoitumia ukamsamehe atumie tena na tena.

Maisha ni kupanda na kushuka. Katika hali yoyote ile, mwanamke hatakiwi kusaliti. Alisaliti tu na mwanaume akasamehe, atambue kwamba atasalitiwa na tena na tena na ajiandae kisaikolojia ya tukio kubwa maana hawa viumbe ni wepesi sana kudanganya kwa pipi au jojo. Unaweza kujuta maisha yako yote kwa kumsamehe mwanamke msaliti.
 
Back
Top Bottom