Bila kukumbwa na matukio ya kifisadi kama escrow na mengineyo, watanzania hatuwezi kuamka kisiasa. Hata hivyo, tunahitaji matukio makubwa zaidi. CCM oyee!
Jana jioni, tarehe 30/08/2014, mnamo saa moja, kulitokea ajali mbaya ya lori aina ya Fuso lililoangukia mtoni katika kijiji cha Nyimbili baada ya kushindwa kupanda mwinuko.
Katika ajali hiyo, mtu mmoja alikufa palepale na wengine takribani hamsini kujeruhiwa.
Majeruhi wote walipelekwa...
For a poor country like Tanzania, knowing English language is inevitable in order to communicate with our donors-the masters. We don't have stable economy and leadership then, our Big Shots can't avoid asking for assistance from Whites. Therefore, let's not create negativity against English...
Ukimkana Zitto, umeukana uzalendo wako. Siasa ni mchezo mchafu. Madudu ya nchi hii huonekana kwa jicho pevu. Anayeitwa msaliti Tanzania, ndiye msemakweli kwa critical thinkers. Think Big to Get Big results. Zitto ni mwiba kwa Chadema, Mafisadi na Serikali kwa ujumla. Kwa namna yoyote, mabadiliko...
Vita ni vita tu. Good opportunity never comes twice. Ridhiki imekupigia hodi; don't let it go away. Deal with it diligently! By the way, you weren't born to suffer, but to enjoy life. Ruka naye akuboreshee maisha!
Ndugu JF Doctors, niliwapa taarifa kuhusu majibu ya HIV yenye utata ya mchumba wangu. Napenda kuwataarifu kuwa baada ya kukosa ELISA na WESTERN BLOT katika hospitali ya Rufaa Mbeya, tuliweza kupata vipimo hivyo katika kituo cha Uchangiaji wa Damu Salama ili kuondoa utata huo. Tumeambiwa kufuata...
Ndugu Jf-Doctors, mimi nina mchumba ninayetarajia kumwoa. Kwa maelezo yake, yeye bado bikra. Jana tulikwenda katika hospitali ya wilaya kupima HIV. Mimi nilionekana NEGATIVE, lakini majibu yake yeye yalinichanganya. Kipimo cha Determine kilionyesha POSITIVE, lakini Uni-gold ilionyesha NEGATIVE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.