LILENDI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 1,400
- 496
senki yuu veri maachiii...anaza waani
naongezea kumshukuru:
senkyu vere april for you hospitality and dispensarity.
mmmmhh! lugha hii ngumu swee.
senki yuu veri maachiii...anaza waani
Uko sawa mkuu, yani kizungu kikitajwa tu utasikia
'Kiswahili lugha ya mtz halisi..mi mzalendo..lugha za wakoloni ha ha haaa hatukosi excuse
I doubt very much if an ex-cop will be in position to understand what you are driving at.Your suggestion is well incomparable and closes to the irrelevancy. English is in the class of its own, no matter what you think or say, it is a world's communicative icon of all times, you can not compare the two at all.
Sijui kwanini ikija mada ya kidhungu watu wanajifanya wazalendo.....ni uoga wa kujifunza ama vipi?...nawaza tu kwa maandishi...
Napata taabu sana kuelewa kiingereza anacho ongea mama Makinda au sijui ni kwa sababu kiko deep sana ama kinasound kibantu zaidi?.....yote tisa kumi ni kwamba sijawahi kuwasikia mh Mkuchika,Asnain Murji, Shibuda Anna Abdala wakiongea kizungu hongereni kwa kukienzi kiswahili.
Asnan Murji darasa la 7-he is zero!! Bt good in business making
Mh. Prof. High Water, wa Mheza anajitahidi sana kupiga kiinglishi ingawa inakuwa ni mseto zaidi (kiswa-nglishi).
Uko sawa mkuu, yani kizungu kikitajwa tu utasikia
'Kiswahili lugha ya mtz halisi..mi mzalendo..lugha za wakoloni ha ha haaa hatukosi excuse
Hili jina la prof high water limenikuna mtima. Jina tu!
Senkyuu honorabo jeoefu
memba fo raitingi zati posti. infakti ha daile bredi langueji izi kiluga
chao. so mei bi samtaim shi is miksingi zeni yu donti
andastemdi
Utoto bado unakusumbua!