Mapokezi ya Lowassa na UKAWA Sumbawanga - Tarehe 02 Septemba, 2015

attachment.php
Nimechoka kwakweli, huyu mzee ni noummmaah!
One love wana Sumbawanga.
 
Watu ndo tumempenda huyohuyo si mnajua kupenda upofu ana kengeza unasema anarembua jamani lowasa take gwala
 
Lowassa ni jemadari,watu wanahaha hawalali,hawali,hawahemi na wala hawapumui,wanatumia mamilioni kuvuruga UKAWA!!
 
Nimechoka kwakweli, huyu mzee ni noummmaah!
One love wana Sumbawanga.

hivii ndo maana wanapata homa huyu mzee ni untouchable aisee..mamie nifah wee endelea tu kunitag...ndo maana wanapoteana woyoooo ukawaaa oyeeee...sijutii kuwa hapa
 
Watu ndo tumempenda huyohuyo si mnajua kupenda upofu ana kengeza unasema anarembua jamani lowasa take gwala
Nakuunga mkono jana nilisikia dada mmoja akipambana na njemba na hakubadilika akidai hata kama ni mgonjwa tunampenda kwamba EL ana kura yake
 
hivii ndo maana wanapata homa huyu mzee ni untouchable aisee..mamie nifah wee endelea tu kunitag...ndo maana wanapoteana woyoooo ukawaaa oyeeee...sijutii kuwa hapa

huyu mzee anaaminiwa ,na huyo sumaye acha kabisa wapinzani wetu wasiwekeze kwa wasaliti wapambane kisiasa
 
hivii ndo maana wanapata homa huyu mzee ni untouchable aisee..mamie nifah wee endelea tu kunitag...ndo maana wanapoteana woyoooo ukawaaa oyeeee...sijutii kuwa hapa

Ni vigumu kuyazuia Mafuriko.
 
Nimechoka kwakweli, huyu mzee ni noummmaah!
One love wana Sumbawanga.

achakuongopa hii picha ni songea ukiangalia mbele kuna paa ya shule watuvwamepanda nahilo paa lilitoboka na lowassa kasema atalikalabati
 
Back
Top Bottom