Yaaa the Man is at work!!! he made the etra -ordinary meeting to end in his own power as every person touched him in anyway around!!! Not only him but Mzee Sumaye as well!!!these TWO are GIANTS IN TZ POLITICS! asikwambie mtu coz wanapeana matumaini lakini miyoni mwao wanatafakari kwa kini ni...
kipindi hiki ni kipimo cha uvumilivu na uaminifu kwa Mungu, baadhi na wengine kushindwa kuhimiri hali hii lakini kubwa zaidi ukipitia hali hiyo ni mpito wa wewe kuwa mwalimu na msaada kwa wengine kuwasaidia kuwashauri na kuwajenga ktk misingi ya uvumilivu....kama mti unahimili hali ya kudumu...
Lowasa Baba nyota yako ya kisiasa ni kali sana na tena inang'aa mno ndo maana kila kukicha watu humu JF wanaandika habari zako tu sijui umewanyang'anya mke hawa kwani hawaishiwi vimaneno maneno tena vya kitototo msikie mwingine huyo hapo juu??
Ni kweli ndugu yake Raisi Mstaafu JK Kikwete, ni mzuri sana kwa masuala ya uongozi tangu aingie wilayani hakuna kuchelewesha mishahara ya wafanyakazi na pia amepandisha vyeo wafanyakazi wa kada mbalimbali acha afanye kazi mama wa watu hana majungu wala majivuno, mchapakazi mzuri mno kwa kweli...
Bibie usiogope kumpata unempenda kwa dhati huhitaji kufikiri sana njia moja mwombe Mungu mda wote nae atakupa la kweli...hakuna mwanadamu aliyemkamilifu awe mwanaume au mwanamke wote tunachukuliana mizigo....isipokuwa Mungu pekee aweza yote...endelea kuishi kwa furaha na watu wote bila kujali...
asa weee kamati kama jina lako suala hili ungelipeleka kwenye kamati yako ya maandaizi ya ndoa ukalisemee wajumbe watakujuza tu, halafu na wewe kitu gani kilikusukuma kumfanyia jambo hilo lakumtega kwa sms nae akakubali bila kuhoji mlifahamiana wapi? inasikitisha sana wadada yaani ELFU 50 kaiona...
Mke wa mtu hazoewi ovyo ovyo kijana anamumendea kuzini nae, huwezi kuleta zawadi kwa mke mtu bila ridhaa yoyote....tafadhali vijana heshimuni ndoa za watu mtakufa mapema.. mke hata kama ni mbaya ana thamani kubwa mbele za mme!
Mwambie rafiki yako awaite wapangaji wote pamoja na mkewe awaeleze tabia anazozifanya huyo bachelor kwa mkewe kumletea zawadi ya chips na vitu vingine wakat sio mkataba wamakubaliano, jamaa aache mara moja ampe onyo mbele za wapangaji wote ibaki kama ushahidi kwa kuwa rafiki yako kamchunguza...
Hapana ninyi woooooote hamjajb hitaji halisi la binti, moja binti akienda gesti atakuwa huru kufanya mapenzi kwa sitailia na kwa sauti bila hofu, pili,ukimaliza kumfanya ana uhakika wakumpa hela ya nauli na chakula kwa kuwa hapo si nymbani, tatu, vitanda vya nymbani mara nying hatuvifanyii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.