Niliumizwa sana nashindwa kusahau

Rudi kwa huyo mzazi mwenzio,kwakuwa ulimuachia open na ukajiachia akapiga bichwa dogo ikawa safi mpaka mukapata mtoto,na itakuwa ni vema mtoto atafarijika kwa kuwaona pamoja.
 
Huwezi kuishi peke yako ukiwa kama binadamu mkamilifu.. Kwa dhana hiyo unajijengea tabia ya kuwa na mwanaume akuridhishe kimwili uachane nae. Kwa style hiyo utajikuta unatembea na wanaume wengi na magonjwa ni mengi.. Jifunze kusahau na kusamehe soma vitabu omba counselling utapona hiyo tabia.. Na utaweza kuishi tena na mwanaume
 
Sababu ni nyingi alafu nilikuwa na 20yrs baada ya yy kutuacha nilirudi chuo nikapata ya kawaida lkn inanosaidia mm na mtoto yy hata muda na mtoto hana aliyonikosea ni mengi lkn kubwa lilikuwa kutembea na wanawake tena bila kujificha na kuwadharau wazazi wangu na wake pia alipokuwa anaitwa kuulizwa kinginr hakuwa mkweli kazini alikuwa ashachukua michango ya ndoa na kutumia na kuwa anavaa pete ya ndoa job nyumbani anaificha kumbe tulikuwa bado hatujafunga ndoa wakati wa màndalizi ya ndoa rafiki yake akaja kuniambia huku akilalmika ametembea na mke wake pia,ni mengi siwez maliza

pole sana
mweyenz Mungu hakukupangia uyo subir alieandaliwa yupo kwa ajil yako mwombe mungu akuletee
 
Bibie usiogope kumpata unempenda kwa dhati huhitaji kufikiri sana njia moja mwombe Mungu mda wote nae atakupa la kweli...hakuna mwanadamu aliyemkamilifu awe mwanaume au mwanamke wote tunachukuliana mizigo....isipokuwa Mungu pekee aweza yote...endelea kuishi kwa furaha na watu wote bila kujali ukaribu wa kimapenzi,kindugu kikazi na kadhalika utafanikiwa..
Mwanao si wakumtegemea sana kukufanya wewe uwe faraja ya sirini bali unahitaj kuwa na mtu wakusaidiana nae kimawazo hata pale unapokuwa umechoka kiakili...chukua uamuzi na ni kweli utampata mtu wa haiba yako lakini usiuwekee moyo wako mipaka!!uachie mwisho wa siku utapumzika na furaha itakurejea nafsini mwako mama!!
 
Mnamshauri mnampa moyo tu hapa!
Ataishije mnadhani? Sio sisiter huyu ,tuache uongo asipikuwa na ndoa ataishi maisha ya dhambi tu!

Mwaya muachie huyo mtu,bado yupo moyoni hujamsamehe na kumuachilia ndo maana unakumbuka!
Ukuamua kumuachilia kutoka moyoni na kumuomba Mungu akupe mtu sahihi atakupa!
 
Pole sana dada!
Najua kiasi gani moyo wako unavyouma kwa maumivu aliyokupatia mwenzako. Nakuomba samehe haijalishi umeumizwa kias gani, tulia, fanya kazi, usikose kwenda ibadani km ww ni mkristo km ni muslim make sure ijumaa unaenda kusali, uwe unasoma biblia mara kwa mara hata ukiwa kazin, jaribu kupitia itakupa hekima sana na pia utasahau maumivu, km ni muslim Quran uisome isipite siku bila kuisoma, sikiliza nyimbo za dini mara kwa mara na epuka kuwa peke yako. Kama una marafiki hebu siku moja moja jumuika nao kupiga soga au km hauna kaz angalia muvi au soma vitabu.
Mpende mwanao na wala usimchukie kwasbb ya maovu ya baba yake.
Kwa umri huo achana na habari za wanaume watakuumiza tena, najua mwanamke anaweza kukaa miaka na miaka bila kukutana kimwili na mwanaume. Na km hatovumilia kuwa pekee yako hakikisha huyo mumeo mpya unafunga naye ndoa na sio wale wakukuweka ndan bila ya ndoa watakuumiza.
Futa kila kitu ambacho kitakufanya umkumbuke km vile picha, namba za simu n.k
 
Sababu ni nyingi alafu nilikuwa na 20yrs baada ya yy kutuacha nilirudi chuo nikapata ya kawaida lkn inanosaidia mm na mtoto yy hata muda na mtoto hana aliyonikosea ni mengi lkn kubwa lilikuwa kutembea na wanawake tena bila kujificha na kuwadharau wazazi wangu na wake pia alipokuwa anaitwa kuulizwa kinginr hakuwa mkweli kazini alikuwa ashachukua michango ya ndoa na kutumia na kuwa anavaa pete ya ndoa job nyumbani anaificha kumbe tulikuwa bado hatujafunga ndoa wakati wa màndalizi ya ndoa rafiki yake akaja kuniambia huku akilalmika ametembea na mke wake pia,ni mengi siwez maliza

Ndo ukaona uondoke?

B4 hakuwa na tabia hiyo?

Ilitakiwa upambane,
Ukae kwny toba kuondoa hiyo madhabahu ya zinaa!

Ss ameoa?
 
Ndugu zangu mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Niliumizwa sana na mwenzangu baba wa mtoto wangu na nimeachana nae miaka 12 iliyopita.

Mtoto yuko Form One, baba hana hata habari nae, lakini nashukuru mungu nimejitahidi na nitajitahidi apate elimu. Tatizo ni kwamba kila nikiingia kwenye uhusiano mpya nakuwa muoga na sana imefikia hatua sihitaji tena kuwa na mwanaume. Yaani naogopa vitu vilivyonitokea mwanzo na mwisho nahisi sijui kumpenda mtu yaani kuubwaga moyo nakuwa na wasiwasi na kushindwa kujiachia.

Naombeni ushauri nifanyeje ili niwe sawa na wanawake wengine
Natafuta mwanamke type hii. Mwanangu yupo form two
 
Ndugu zangu mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Niliumizwa sana na mwenzangu baba wa mtoto wangu na nimeachana nae miaka 12 iliyopita.

Mtoto yuko Form One, baba hana hata habari nae, lakini nashukuru mungu nimejitahidi na nitajitahidi apate elimu. Tatizo ni kwamba kila nikiingia kwenye uhusiano mpya nakuwa muoga na sana imefikia hatua sihitaji tena kuwa na mwanaume. Yaani naogopa vitu vilivyonitokea mwanzo na mwisho nahisi sijui kumpenda mtu yaani kuubwaga moyo nakuwa na wasiwasi na kushindwa kujiachia.

Naombeni ushauri nifanyeje ili niwe sawa na wanawake wengine
njoo kwangu nikupe dawa hiyo kazi ndogo sana
 
Umri ulionao unatosha kabisa kufanya mambo yako..
Fanya kazi..somesha mtoto wako mpaka atimize ndoto zake..

Unaweza ukapata mwingine akapatia wewe mtoto mwingine tena na akapotelea kusikojulikana ukabaki na matatizo mengine!!
oh akapolea kusikojulikana?!
 
Back
Top Bottom