mkonongo1938
JF-Expert Member
- Jan 22, 2016
- 1,990
- 2,397
Pole dada muombe Mungu akuongoze katika maisha yako na mwanao tuliza akili utampata tu mume mwema.
Sababu ni nyingi alafu nilikuwa na 20yrs baada ya yy kutuacha nilirudi chuo nikapata ya kawaida lkn inanosaidia mm na mtoto yy hata muda na mtoto hana aliyonikosea ni mengi lkn kubwa lilikuwa kutembea na wanawake tena bila kujificha na kuwadharau wazazi wangu na wake pia alipokuwa anaitwa kuulizwa kinginr hakuwa mkweli kazini alikuwa ashachukua michango ya ndoa na kutumia na kuwa anavaa pete ya ndoa job nyumbani anaificha kumbe tulikuwa bado hatujafunga ndoa wakati wa màndalizi ya ndoa rafiki yake akaja kuniambia huku akilalmika ametembea na mke wake pia,ni mengi siwez maliza
Njoo pm tuongee, utafurahi Sana nakuhakikishia, usisite pleaseAsante nafanya kazi nashukuru na maisha yanaenda
Bibie usiogope kumpata unempenda kwa dhati huhitaji kufikiri sana njia moja mwombe Mungu mda wote nae atakupa la kweli...hakuna mwanadamu aliyemkamilifu awe mwanaume au mwanamke wote tunachukuliana mizigo....isipokuwa Mungu pekee aweza yote...endelea kuishi kwa furaha na watu wote bila kujali ukaribu wa kimapenzi,kindugu kikazi na kadhalika utafanikiwa..Amina
Asante kma kuna lolote nishauri tu on publiclyNjoo pm tuongee, utafurahi Sana nakuhakikishia, usisite please
Weka hadharani haku siriNjoo pm tuongee, utafurahi Sana nakuhakikishia, usisite please
Lakini kumbuka ana hisia kama wewe au mwanamke yoyote,kwa hiyo akae na ukame tu?Pole sana piga kazi mlee vizuri mtoto wako na kumsomesha vizuri huyo ndo kila kitu kwako atakuja kuwa msaada baadae
Wewe unaitwafaragha upewe maneno mazuri ya kukufariji halafu unaleta ngebe,haya basi kaa hivyo hivyo ukame ukukondeshe.Asante kma kuna lolote nishauri tu on publicly
Sababu ni nyingi alafu nilikuwa na 20yrs baada ya yy kutuacha nilirudi chuo nikapata ya kawaida lkn inanosaidia mm na mtoto yy hata muda na mtoto hana aliyonikosea ni mengi lkn kubwa lilikuwa kutembea na wanawake tena bila kujificha na kuwadharau wazazi wangu na wake pia alipokuwa anaitwa kuulizwa kinginr hakuwa mkweli kazini alikuwa ashachukua michango ya ndoa na kutumia na kuwa anavaa pete ya ndoa job nyumbani anaificha kumbe tulikuwa bado hatujafunga ndoa wakati wa màndalizi ya ndoa rafiki yake akaja kuniambia huku akilalmika ametembea na mke wake pia,ni mengi siwez maliza
Natafuta mwanamke type hii. Mwanangu yupo form twoNdugu zangu mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Niliumizwa sana na mwenzangu baba wa mtoto wangu na nimeachana nae miaka 12 iliyopita.
Mtoto yuko Form One, baba hana hata habari nae, lakini nashukuru mungu nimejitahidi na nitajitahidi apate elimu. Tatizo ni kwamba kila nikiingia kwenye uhusiano mpya nakuwa muoga na sana imefikia hatua sihitaji tena kuwa na mwanaume. Yaani naogopa vitu vilivyonitokea mwanzo na mwisho nahisi sijui kumpenda mtu yaani kuubwaga moyo nakuwa na wasiwasi na kushindwa kujiachia.
Naombeni ushauri nifanyeje ili niwe sawa na wanawake wengine
njoo kwangu nikupe dawa hiyo kazi ndogo sanaNdugu zangu mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Niliumizwa sana na mwenzangu baba wa mtoto wangu na nimeachana nae miaka 12 iliyopita.
Mtoto yuko Form One, baba hana hata habari nae, lakini nashukuru mungu nimejitahidi na nitajitahidi apate elimu. Tatizo ni kwamba kila nikiingia kwenye uhusiano mpya nakuwa muoga na sana imefikia hatua sihitaji tena kuwa na mwanaume. Yaani naogopa vitu vilivyonitokea mwanzo na mwisho nahisi sijui kumpenda mtu yaani kuubwaga moyo nakuwa na wasiwasi na kushindwa kujiachia.
Naombeni ushauri nifanyeje ili niwe sawa na wanawake wengine
AminaPole sana mpendwa, Mungu atakujalia mwingine atayekupenda kwa dhati usikate tamaa
oh akapolea kusikojulikana?!Umri ulionao unatosha kabisa kufanya mambo yako..
Fanya kazi..somesha mtoto wako mpaka atimize ndoto zake..
Unaweza ukapata mwingine akapatia wewe mtoto mwingine tena na akapotelea kusikojulikana ukabaki na matatizo mengine!!