Recent content by Gotze Giyani

  1. Gotze Giyani

    Uzi gani wa JF ulikuvutia na unatamani kila mtu apate nafasi ya kuusoma

    Uzi wa Siku ya kwanza kupanda Ndege ilikuaje na uzi wa jiji la New York City Marekani waliamua ,pia uzi wa kuhusu kufikisha miaka 40, pia uzi wa wenye iphone wanajikuta ,uzi wa kuhusu UTT Amis pamoja na kuhusu kupata passport ukatafute maisha ughaibuni nazipenda sana hizi nyuzi
  2. Gotze Giyani

    Unaishi vipi na mwanaume asiyepokea ushauri wa mwenza/ watu wengine?

    Kwanza unakuta ushauri sio mzuri yeye amefanya nini kikubwa kwenye maisha yake mpaka afosi ushauri wake uchukuliwe
  3. Gotze Giyani

    Unaishi vipi na mwanaume asiyepokea ushauri wa mwenza/ watu wengine?

    Vipi kama ushauri wako sio mzuri ujue wanawake nyie wengi wenu ni wabinafsi na pia mnalazimisha mtuu akuone ni muhimu na ndio maana unaambiwa punguza kujiona muhimu kwenye maisha ya watu
  4. Gotze Giyani

    Rick Ross training to climb Mt. Kilimanjaro

    Ujinga kama huo auwezi niumiza labda wewe single mum unayesema wenzako wanamaumbo mabaya wakati yako ayaeleweki
  5. Gotze Giyani

    Rick Ross training to climb Mt. Kilimanjaro

    Wewe unataka ukachukue nini tuone umbo lako kwanza
  6. Gotze Giyani

    Hatimaye baada ya mangaiko ya muda nauona mwanga

    Wekeza kwenye Utt amis mfuko wa liquid fund autajutia kabisa huku jamii forum wameelezea kwa sana
  7. Gotze Giyani

    Wasomi wengi kuburuzwa na viongozi tatizo ni ubovu wa elimu yetu au nini

    Mtuu kakurupuka huko wamepandisha nauli sijaona mdahalo kituo chochote cha habari kikijadili au kuhoji kwa ukaribu
  8. Gotze Giyani

    Wasomi wengi kuburuzwa na viongozi tatizo ni ubovu wa elimu yetu au nini

    Hivi kweli mvua inyeshe tena kubwa sana halafu maji yasiingie bwawani na wakati mvua imenyesha eneo hilo hilo tena kubwa mbona kama wanatuona kama hatuna ubongo mbaya zaidi wanashinda uchaguzi hata wewe tafakari ?
  9. Gotze Giyani

    Wasomi wengi kuburuzwa na viongozi tatizo ni ubovu wa elimu yetu au nini

    Shida ni nini na sisi kama watanzania tufanyaje
  10. Gotze Giyani

    Wasomi wengi kuburuzwa na viongozi tatizo ni ubovu wa elimu yetu au nini

    Wadau habarini za jioni, poleni na jukumu la kujenga taifa, Ndiyo tunaelekea mwisho wa mwaka bado siku 30 tu mwaka uishe je umefikia malengo yako au ndio kuishi kwa mazoea kama watanzania wengi tulivyozoea niende kwenye mada. Hivi karibuni kumetokea tabia au mazoea ya wanasiasa kuwazarau...
  11. Gotze Giyani

    Je, kuna tofauti kati ya bond fund na liquid/ukwasi kwenye uwekezaji wa pamoja (UTT)?

    Unaingia online unapata maelekezo YouTube kuna video inaeleza vizuri ila unajiunga kwneye simu na kwenda tawi la crdb
  12. Gotze Giyani

    Kuendelea kuungua kwa magari aina ya Nissan Dualis nchini Tanzania

    Mtu mmoja Mwajuma Mohamed mwenye umri wa miaka 30 mkazi wa Veta Jijini Mbeya amenusurika kifo usiku wa kuamkia leo Julai 31 baada ya gari alilokuwa akiendesha aina ya Nissan Dualis kuteketea kwa moto katika eneo la Kabwe kata ya Iyela Jijini Mbeya Afisa habari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji...
  13. Gotze Giyani

    Uwekezaji wa UTT liquid Fund faida yake mbona ni tofauti na uhalisia wanaousema

    Hawa wanajishau kuwa wanajua kufanya biashara kumbe wako tuu nyumbani na wanajiita wasomi wakati elimu aijawasaidia anawekeza Bakhresa kwenye mutual fund nyie mbumbumbu msio na kitu mnapinga nakujisifia kuwa mnajua biashara kumbe amna lolote
  14. Gotze Giyani

    Uwekezaji wa UTT liquid Fund faida yake mbona ni tofauti na uhalisia wanaousema

    Jamii Forums watu kwa kujishauwa kumbe hauna hata kitu vijana wa Tanzania ovyo sana ukiulizwa utaifanyia nini hata kusema uwezi ila kukosoa watu sasa
  15. Gotze Giyani

    Wanaume shida ni nini?

    Siungemuambia Frank ndio alikubikiri mwaka jana na ulimpa mwenyewe tuu shida nini na ni bikra ya mbele ya nyuma ipo
Back
Top Bottom