mkushiOg
Member
- Feb 17, 2024
- 52
- 124
- Thread starter
- #41
😁😁😁imebidi nicheke,sasa kamaUsifosi ushauri wako utumike kwenye pesa ya mtu mwingine, we kama umeolewa base kwenye duties zako zinazokuhusu kama kufua, kupika na usafi hayo mengine ni juu ya mme wako akiamua akushirikishe ni sawa asipo amua kukushirikisha ni sawa pia kwasababu Yeye ndio Bosi kwenye familia yenu anajua nini atafanya chakula kipatikane na wewe kama mke wake upendeze.
Sipendezi niendelee tuu kukaa kimya?