Je, kuna tofauti kati ya bond fund na liquid/ukwasi kwenye uwekezaji wa pamoja (UTT)?

Nilikuwa utt ofisini kwao Kwa lengo la kujua namba ya hii mifuko na faida zake... Swali la kwanza kumuuliza mpokea maswali ilikuwa juu ya return au faida..jamaa alijibu Kwa kusisitiza kuwa utt haitoi faida Wala return Kwa mwenzi au Kwa mwaka... Wanachokifanya wao ni ongezeko la thamani ya kipande jinsi Inavyokuwa kutoka siku unayoanza kuwekeza Hadi siku unayopanga kufikia ukomo WA UWEKEZAJI wako...
Nilimuelewa but napata tabu napopitia huu Uzi naona Kuna wadau bado wanazungumza faida inayoingi a Kwa Kila mwenzi au Kwa Kila mwaka sijui hii imekaaje hapa...
Na muda Sasa nipo mfuko wa bond fund.kwa Sasa nimepata uelewa mkubwa kuhusu UTT, nimebakiza kununua hati fungani za serikari na hisa DSE
 
Na muda Sasa nipo mfuko wa bond fund.kwa Sasa nimepata uelewa mkubwa kuhusu UTT, nimebakiza kununua hati fungani za serikari na hisa DSE
Mkuu hiyo bond fund kwa mtu aliyeweka 5m ana uhakika wa kupata gawio la 50k kwa mwezi au inabadilikabadilika ?
 
Nilikuwa utt ofisini kwao Kwa lengo la kujua namba ya hii mifuko na faida zake... Swali la kwanza kumuuliza mpokea maswali ilikuwa juu ya return au faida..jamaa alijibu Kwa kusisitiza kuwa utt haitoi faida Wala return Kwa mwenzi au Kwa mwaka... Wanachokifanya wao ni ongezeko la thamani ya kipande jinsi Inavyokuwa kutoka siku unayoanza kuwekeza Hadi siku unayopanga kufikia ukomo WA UWEKEZAJI wako...
Nilimuelewa but napata tabu napopitia huu Uzi naona Kuna wadau bado wanazungumza faida inayoingi a Kwa Kila mwenzi au Kwa Kila mwaka sijui hii imekaaje hapa...

Nilikua najaribu mfuko wa ukwasi. Nilinunua vipande vya 10 M

IMG_0387.jpg
 
Vitu kama hivi jamani mbona wachangiaji ni wachache naomba muwe wengi tupate elimu zaidi mimi nina mwezi nimejiunga utt mfuko wa liquid Fund au ukwasi nimeona unafaida sana ila mkwanja ukiwa mrefu kidogo utafurai sana wadau
Naomba unielekeze umejiungaje na liquid Fund..... utaratibu
 
Back
Top Bottom