mkushiOg
Member
- Feb 17, 2024
- 52
- 123
- Thread starter
- #61
Please naomba unisaidie point mbili tatu kwenye hapo pa kufanya kinachowezekana….nifanye vitu gani??Fanya kinachowezekana maana madhara yake yanagharimu adi ustawi wa familia. Nakwambia haya kwa sababu nimekulia familia ya aina hii mpaka kesho mzee wangu hashauriki licha ya kuwa anaangukia pua mara nyingi ila hakomi.