ON SALE (DYF)
Price 12.9ML
0768160670
NISSAN X-TRIAL ¥
KALI SANA
Color 🖤 BLACK
MWAKA * 2006✓
LOW MILEAGES
Engine 1990
Low mileage
New tyre
Clean sana
0768160670
EXCHANGE ALLOWED
1. Hali ya Gari: Gari halina shida yoyote, ila halijatembea kwa muda. Ni Nissan Patrol
2. Gari lilipo: Gari lipo Goba Mkoani Dar es Salaam
3. Bei ya Gari: Ni Tsh milioni 45
5. Mawasiliano: Piga simu au tuma Meseji kwenda: 0713208669
Habari ndugu wana jamii forum,
Nimejikongoja kidogo nimenunua Nissan Duals naombeni ushauri kuhusu mafundi wazuri maana hii gari naipenda sana japo watu wanadai ina changamoto nyingi ila kwa upande wangu naikubali sana hii gari
Maker: Nissan
Model: Dualis
Body Type: Station Wagon
Color: Black
Year of manufacture: 2007
Engine Capacity: 1990
Fuel Used: Petrol
Imported from: Japan
Asking price: 16m
Previous Owners: 0
The price is Negotiable,
Karibu tufanye biashara.
Wakuu hii kitu ya moto sana, gharama za kuinunua hii chuma ni sawa na hospitali ya Wilaya (pamoja na Assets zote) huko BUHIGWE. Hakika duniani wapo viumbe (akiwemo Mstaafu) wanafurahia maisha.
NB: Tupeleke watoto CHIPUKIZI aisee. Haya mambo ya kukomaza Komwe ufaulu NECTA sijui SUA ndo uje...
Habarini wakuu.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna hizi gari ambazo tunazi consider kama ni gari za aina moja, kwamba zinafanana kwa kila kitu.
Naongelea Qashqai vs Dualis. Kuna tofauti yoyote kati ya hizi gari mbili? Kuna jamaa aliwahi kuniambia kwamba Nissan Qashqai...
Price/Bei 15.7mls
Cont:
Bmw 3 Series ECY
Year 2008
Cc 1990
Low Km 99000
Full Options✅
Sports & New Tyres
Clean Condition
0688591584
Navunja Na Gari yoyote°°
Location Dar es salaam
Mtu mmoja Mwajuma Mohamed mwenye umri wa miaka 30 mkazi wa Veta Jijini Mbeya amenusurika kifo usiku wa kuamkia leo Julai 31 baada ya gari alilokuwa akiendesha aina ya Nissan Dualis kuteketea kwa moto katika eneo la Kabwe kata ya Iyela Jijini Mbeya
Afisa habari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji...
Wakuu salama?
Mfano mtu anataka ku experience the difference, ahame kutoka Toyota Rav 4/Harrier/Vanguard. Je kati ya hizi gari mbili ipi nzuri zaidi ama abakie tu kwa Toyota?
Gari hizo ni Foresta Toleo la nne na X-trail toleo la nne.
Ahsante sana
*NISSAN DUALIS [DXG]📞
Price : 14.9mls
(GARI NI MPYA 100%)
Year 2007 -2008
Engine Cc 1990
Full Ac
Low mileage
Rim sports
NAVUNJA NA GARI YOYOTE
0768160670
NISSAN DUALIS CROSS RIDER (DUT)
Engine Cc 1990
Year 2010/11
Full Ac
Full Documents
Insurance Active
Bei 16.8mil
Gari mpya 100%
Kama unauza gari lako nitumie
#SALEHE MAGARI🤴
#NB:KARIBUNI SANA
#: 0688591584
Wakuu naomba kufahamu wataalamu wa magari, je ni wazo jema mtu kutaka kuuza Vanguard ya mwaka 2011 na kutaka kununua Nissan Extrail ya mwaka 2016.
Naomba uzoefu na ujuzi wenu wakuu.
Gari zote hizi hapa chini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.