Hivi ukihamisha pesa yako kutoka account yako ya NMB na kwenda account yako ya M-mpesa na muamala ukakamilika na ukakatwa pesa za kukamilisha muamala huo na NMB lakini mwisho wa siku pesa ifanikiwe kuingia kwenye Account yako ya M-Mpesa wakati tayari pesa umeisha katwa ya kuhamishia!kisha...
Ninge penda kujulishwa ni vigezo gani hawa voda wanavitumia kufunga vifaa vinavyo wezesha huduma ya internet kwenye minara yao,Ulimwengu wa wa sasa ni mwendo wa internet sasa mbona kuna sehemu zina watumiaji wa internet wazuri tena kwa kasi kubwa lakini hii huduma haipatikani ni mwendo wa Moderm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.