Naona hata mm machale yameanza kunicheza.nina wasiwasi huu uzi kaanzisha mtapeli tu hakuna anayejibu kitu tuwe makini
Mnazingua tu! Huduma zenu bado mbovu!
Mtu anatoa hela kwenye ATM hela yenyewe haitoki na kwenye akaunti yake tayari imeshakatwa na msg kwenye simu tayari imeshaingia kuwa umetoa hela.
Sometime mtu anajua salio lake lakini hela yake inakatwa bila sababu, akiomba bank statement anazungushwa na hata akipewa anakuta kuwa alituma hela kwa mtu wakati hakufanya hiyo huduma.
WIZI MTUPU!!