Kwanza futa neno fedha za umma, hii ilikuwa michango ya hiyari kutoka kwa wabunge wote. Hivyo si za serikali wala bunge(yaani ofisi ya spika). Hivyo swali lako lingefaa kujibiwa km muhimili bunge au serikali ingelitoa fungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.