ni maamuzi ya hovyo tu
kwani madini yanaishi hapo milele.si yanaisha
ngoja tupime manyokaa/ wana apolo na wazee wa mabaka nani mkali
Kwa hiyo kutokuwa na ukuta katika ofisi za makao makuu ya CHADEMA kumepunguza wizi wa pesa za Chama na matumizi hovyo ya ruzuku!!!?????Hujiulizi kwanini bandarini kuna Ukuta lakini ni sehemu inayoongoza kwa wizi?
Nyie keng..e msiwe Wapuu..zi kiasi hicho, msipinge kila kitu maana hata migodi ya wazungu ina fence
Yetu machoooWalitakiwa kujenga Ukuta wa sheria za kuhakikisha madini yanafuata proper channels,siyo ukitaka wa Cement ya wazo.Hahahhahaha
soma ulichokiandika kama utakielewa mwenyewe, halafu mimi sijataja chama nashangaa kuona povuKwa hiyo kutokuwa na ukuta katika ofisi za makao makuu ya CHADEMA kumepunguza wizi wa pesa za Chama na matumizi hovyo ya ruzuku!!!?????
Acheni upuu.zi enyi misukule. Mnapinga mambo ya msingi kwa hoja dhaifu. Jikiteni kwenye Sera sio kuvaa madera!
Una elimu yoyote ya maana kutoka kwenye combination ya masomo geology? Sio kila kitu roporopo mambo mengine waachie wasomi jadili mambo ambayo akili yako finyu inayamudu.Habari wana jamvi,
Kama kichwa kisemavyo,
Huu ukuta wa Mererani ulioagizwa na Mh Magufuli umezua utata kwa namna ulivyopokelewa hasa na washikadau wa shughuli husika za madini.
Kwanza wameshangaa kutolewa maamuzi ya namna ile ambayo kwayo wamesikitika kwamba kwanini nguvu hio na gharama hizo wasingejenga barabara sehemu zenye uhitaji.
Wakaenda mbali zaaidi juu ya washauri wa mh. Magufuli kana kwamba elimu yao ni yakinadharia tuu imewanyima ujuzi wa uhalisia kufikia maamuzi yasiyo na tija au wanaamua kumpotisha tuu mh. Magufuli.
Wanasema kama mh. Magufuli hawajui wachimba madini na wadau wake atakuja shtuka shimo linachimbwa mererani wanapolo wanatokea Arusha au hata chumbani kwa mtu na hapo ndo hasara ya kamera itakapo onekana, pia patakua na njia nyingi tuu za kufanikisha wizi kwa serikali kama serikali haitokuja na sera rafiki, shirikishi katika ukusanyaji kodi.
Mimi ni mzalando!!
Mambo muhimu yanayopaswa kuzingatiwa kwenye hii issue ya ukuta Mererani niSio kila mtu anatumia akili ktk kufanya kazi zake, hekima au busara, maana wengine hawana hvyo, nature iko fair sana kwani pia wako wanaotumia nguvu kufanya kazi zao. Mgongano unakuja pale wanaodhani akili ni bora zaidi kuliko nguvu ktk uongozi wa uma, na hili liache liendelee maana haliwezi kubadili mambo yalivyo sasa. Watanzania tunalo ombwe la kutokuandaa viongozi, tukubali tukatae, na hili litazidi kututafuna Leo na kesho.