CHADEMA yazidi kukimbiwa na Madiwani wake

hivi tangu zamani zile walipojiondoa/kuondolewa chadema bado hawajakamilisha huo mchakato au walirudi tena chadema ndipo leo wakaamua tena kutoka? ama kweli tangazo la biashara hurudiwa mara kwa mara !!!!
 
Bado sijaelewa tukio la kuhamia CCM kwenye sherehe za heshima za kijeshi za kuvishana nishani.
Hao madiwani walikuwa wanajeshi?
Au hao wanajeshi ni wanaCCM?
wewe hujaona visima vilivyojegwa enzi za wakoloni vikipakwa rangi na kuzinduliwa kwa mbwembwe kama miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na serikali nyakati za mbio za mwenge ???!!!!
 
Bado tuna safari ndefu sanaaaa kama taifa.
So ndefu kihivyo. Mbona tuliisha sogea. Kuna intruder mmoja anajaribu kuvuruga, but can't take more than 7 years from now. Tutarudi kwenye msitari kwa nguvu na ari zaidi.
 
Hakuna kipya hapo, zote ni zilipendwa tu. Hizo ni kick za marudio, wote hao wanaodaiwa kuwa ni madiwani wa CHADEMA walishatangazaga kujiuzuru udiwani wao siku nyingi sana na kuhama CHADEMA na wengine walifukuzwaga, na hilo tukio la kusema wamehamia CCM huenda leo ni marudio yake, maana walishafanya hivyo hivyo mara mbili katika nyakati tofauti tofauti.
marudio ni lowasa na sumaye.....maana ni wastaafu.
 
Hivi mgogoro wa CUF Lipumba na CUF Maalim umekwisha? Maana hizi ngonjera zimechosha sasa
 
Kwani hawana mtu wa protocol awaeleze umuhimu wa segregation ya majukumu ya kichaa na ki serikali?
 
Arusha inarudi ili tuwaachie wenye chama chao pale Kilimanjaro manake cc Mwanza tulishasahau kama kuna Chagadema!!
Chagadema ndiyo nini?Unadhihirisha ni namna gani ulivyomweupe ktk kujenga hoja!Nini maana ya mfumo wa vyama vingi vya siasa?Au unategemea karne ya 21 watu wakupigie makofi hata kama unapumbika?
 
Weng wao walikua ccm kabla, nadhan walisombwa na mafuriko ya lowassa, sasa wameona lowassa kashindwa wameamua kurud kwao. Wengi ni wazee wachovu
 
No Impact at all,
History inatukumbusha CDM iliwahi kufukuza 5, miaka iliyopita.
Uchaguzi wa marudio walishinda viti vyote....

Muhimu hapa ni je Uchaguzi ukifanyika kujazwa hizo nafasi, wataweza kushinda kweli...???
 
Back
Top Bottom