Graph
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 2,736
- 6,155
Kilaza mwingine kaja na post, hivi watanzania lini mtaelimika?
Utakuta OP ni mtu kamaliza form four kasoma biology, au unakuta ni mwanaume amekaa na balls kabisa zimetuna hajui hata mtoto anatokea wapi. Kaona video tu kwenye internet watu wanaigiza kaamini asilimia mia. Turudie mara ngapi kua internet ina uongo asilimia zaidi ya 80%. Inachosikitisha na commenters wengine wanashangaa inaonekana wameamini huu upuuzi, kweli I'm done with watanzania, tolerance ya ukilaza una limit yake.
Mwanaume hawezi zaa hata kwa ujinga mnaoita uchawi, wanawake wanaotumia vidonge kustimulate male hormones sijawaclassify kama wanaume maana bado ni wanawake, mfumo wao mzima ni mwanamke. Kuonyesha tofauti ya wabongo, nimeonyesha marafiki zangu hii video wote sio wabongo kila moja papohapo anajibu kua ni fake alafu anaendelea na shughuli zake.
Utakuta OP ni mtu kamaliza form four kasoma biology, au unakuta ni mwanaume amekaa na balls kabisa zimetuna hajui hata mtoto anatokea wapi. Kaona video tu kwenye internet watu wanaigiza kaamini asilimia mia. Turudie mara ngapi kua internet ina uongo asilimia zaidi ya 80%. Inachosikitisha na commenters wengine wanashangaa inaonekana wameamini huu upuuzi, kweli I'm done with watanzania, tolerance ya ukilaza una limit yake.
Mwanaume hawezi zaa hata kwa ujinga mnaoita uchawi, wanawake wanaotumia vidonge kustimulate male hormones sijawaclassify kama wanaume maana bado ni wanawake, mfumo wao mzima ni mwanamke. Kuonyesha tofauti ya wabongo, nimeonyesha marafiki zangu hii video wote sio wabongo kila moja papohapo anajibu kua ni fake alafu anaendelea na shughuli zake.