MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,809
Hii ni ndege ya Mrusi aina ya SU-35, iko vizuri sana.
Ila na huyu rubani anajiweza aisee, mhhh!!!
Najiuliza siku ndege kama hii ikivaa silaha nzito na itumike si watu wataumia sana ???
Warusi na bajeti finyu lakini bado wanaendelea kufanya makubwa kama haya.
Najiuliza tu maswali mengi sana,
Hivi na lini sisi tutakuwa na ndoto ya kurusha vitu kama hivi angani ???
Hawa wazungu wana nini cha ziada ambacho sisi hatuna ???
Tokea Uhuru tatizo la maji tu halijaisha; Kwanini lakini ???
CC: Bukyanagandi , Dotworld , Dragoon , Vladimirovich Putin , Maalim Shewedy
Ila na huyu rubani anajiweza aisee, mhhh!!!
Najiuliza siku ndege kama hii ikivaa silaha nzito na itumike si watu wataumia sana ???
Warusi na bajeti finyu lakini bado wanaendelea kufanya makubwa kama haya.
Najiuliza tu maswali mengi sana,
Hivi na lini sisi tutakuwa na ndoto ya kurusha vitu kama hivi angani ???
Hawa wazungu wana nini cha ziada ambacho sisi hatuna ???
Tokea Uhuru tatizo la maji tu halijaisha; Kwanini lakini ???
CC: Bukyanagandi , Dotworld , Dragoon , Vladimirovich Putin , Maalim Shewedy