Recent content by 2013

  1. 2013

    Ukosefu wa taaluma katika vyombo vya habari vya dini

    Vipindi vingi vya Dini hususani vya Kikristo katika radio mbalimbali nchini vinaendeshwa na watangazaji ama wasemaji wasioweza kuzungumza lugha fasaha ya kiswahili. Inaonyesha hata wanao wasaili hawajui kama hawajui kiswahili Sanifu. Mfano, Unakuta mtangazani anatakiwa aseme Roho Mtakatifu...
  2. 2013

    Mitandao ya Simu inavyotuibia Bando za Intaneti

    Mie nimekuwa mtumiaji wa tiGo na Airtel. Ilikuwa wakizingua Airtel nahamia tiGO and viceversa. Hivi sasa Hali imenifika shingoni sina pa kukimbilia. Manake Wote ni majambazi. Unaweka Bando la wiki. unalazimika kushusha mtandao kwenye Simu isome 3G badala ya 4G. Lakini haujamaliza Dk 5...
  3. 2013

    Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    Naomba link ya telegram ILIPO hii hadithi
  4. 2013

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Pindi lipo saa ngapi na siku Gani ili nami Nfuatulie?
  5. 2013

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Nilitamani link au unitumie Kitabu Cha soft
  6. 2013

    Naomba ushauri jinsi ya kumuapproach aliyenitafutia kazi, nataka kuacha kazi

    Nina Uhakika wewe ndio mwenye "likes" nyingi kwenye huu Uzi kuliko mwingine Umeongea Ukweli Mchungu na mistari Mikali sana [emoji16][emoji16][emoji16]
  7. 2013

    DOKEZO Airtel wamebuni wizi mpya wa kuuza vocha ambayo haijaanza kutumika

    Huu ni mtindo mpya ambao Airtel wamebuni ili kuwaibia wateja, tumezoea kuibiwa MB's zetu zinapunguzwa kiaina na wakati mwingine unapokea meseji kuwa bando limeisha hata kabla halijaisha au haujalitumia vizuri. Lakini sasa wamekuja na mbinu nyingine ya kuwaibia wateja kupitia kuwauzia "Tozo" ya...
  8. 2013

    Hivi kwanini Watanzania tunapenda kulazimisha Undugu?

    Well said. umegusa Kila upande.Sina Cha kuongeza.
  9. 2013

    Imani ya Utawala kwa Mtiririko wa Tabia za Namba

    Nafikiria umepiga Hesabu zako vibaya. Awamu inayoendelea ni ya 5. Kwani kila awamu haipungui vipindi viwili vya uraisi. Awamu ya sita bado itaanza 2025.
  10. 2013

    Uchaguzi 2020 Ilani ya CHADEMA ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020 - 2025

    Nyie ndio wasomi ambao mliapa kutokupiga kura na mpaka sasa hamkujiandikisha.
  11. 2013

    Watu warefu na wenye miili mikubwa hatarini kutoweka kabisa hapa kwetu

    'Vijeba" ni matokeo ya watu kuishi maisha magumu, kufanya kazi ngumu na kubeba vitu vizito kichwani na lishe duni. Athari hizi zikiendelea kwa muda mrefu hupelekea genes kubadilika kwa mfano wa "Gene mutation" ambapo vinasaba( genes ) humfanya mtu aendane na hali ya mazingira yake ya...
  12. 2013

    Wanafunzi wakifaulu wanasifia miundombinu, wakifeli wanalaumu walimu

    Huo ndio ukweli, viko vitu vingi vinavyopelekea kufeli vilevile viko vinavyopelekea kufaulu. Wakifeli ndivyo vitakavyo orodheshwa likewise wakifaulu.
  13. 2013

    Je, wakati umefika wa Misikiti kugeuzwa Sunday-school na Gwajima?

    Sina nia ya kupiga ramli au ku-beti kuhusu Gwajima kama anachomoka au hachomoki. Akishindwa itakua aibu yake yeye mwenyewe na chama chake kilichofanya Teuzi kikiongozwa na pole*2. Maana mpaka sasa rekodi zinaonyesha Gwaji hajawahi Kushinda kwa kura popote. Hata ushindi huu Amepita kwa...
Back
Top Bottom