Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,683
- 3,512
Ni kama ziwa Tanganyika linavyotajwa kwenye hayo mambo na sio Victoria au nyasa
Nipe link kaka na mm ninunue au nitumie hiko cha kwakoNilinunua soft ya kitabu chake watsap aisee kuna Mambo mengi Sana ya dunia hii kwenye ushirikina
Akikutumia nitumie na mimi kakaNipe link kaka na mm ninunue au nitumie hiko cha kwako
Ok nasbrAkikutumia nitumie na mimi kaka
Ni sherehe kuashiriaMaana yake ninini Wige??
Ahaaa! Asante sana kwa maelezo!Ni sherehe kuashiria
Msimu wa mavuno
Hivyo kunakuwa na ngoma shindanishi
Kati ya Baghika na Baghalho
Lakini pia kuanza kwa mavuno
Yaliyopo shambani juni mosi
Huku ikisubiriwa bei ya pamba julai mosi
Itangazwe
Ni kipindi cha shangwe na furaha kiasi kwamba
Minada ndio inaanza kuchanganya
Pesa kama zote ukanda huo
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Kuna jamaa hapa anaziba pancha Tu lkn life lake hatar Sana nyumba kali gari Kali mpaka police wanamuuliza umepataje nyumba hii
Ha haaaa.Unataka kwenda kula chakula chenye damu za watu mkuu huogopi?
Tukubali tu kwamba duniani kuna vinavyoonekana na visivyoonekana, vyote vinaishi na hutegemeana.Nilinunua soft ya kitabu chake watsap aisee kuna Mambo mengi Sana ya dunia hii kwenye ushirikina
Zile Mbina zilitakaga kuchukua maisha yangu nakumbuka nilienda na Babu kwenye Mbina na Marehemu Babu kuuza Miwa, Machungwa, Machenza na Mastafeli kwenye trailer la kusukumwa na Ng'ombe nikajichanganya nikaenda mpaka kwenye kichanja anachosimama Mringi aisee kilichonipata, Ni kwa sababu tu Ukoo wa Babu ulikuwa wa KichifuNi sherehe kuashiria
Msimu wa mavuno
Hivyo kunakuwa na ngoma shindanishi
Kati ya Baghika na Baghalho
Lakini pia kuanza kwa mavuno
Yaliyopo shambani juni mosi
Huku ikisubiriwa bei ya pamba julai mosi
Itangazwe
Ni kipindi cha shangwe na furaha kiasi kwamba
Minada ndio inaanza kuchanganya
Pesa kama zote ukanda huo
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Aagize kabisa na urojo nitamtrushia afu tatu.Wewe hebu ingia hapo uangalie mazingira yakoje utuhabarishe
Nilitamani link au unitumie Kitabu Cha softNipe link kaka na mm ninunue au nitumie hiko cha kwako
Welcome to the club!Sasa tunaenda bampa to bampa lol
Nimeukazania huu Uzi kwa siku3 mpaka nimemaliza page zote zaidi ya elf5
Lait ningekua serious na maisha kama nilivokazana kwenye uzi huu
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Wamemtoa kafara dada wa watu dahLovelovie Antonio de Guzman Bantu Lady Wigelekelo Saint Anne huku kwetu kwetu mafian Carter Restless Hustler Doctor G Labani og leadermoe kiduku mpapaso Joannah Masta kashusha episode nyingine hukuuuuu!!
Kama ni kinyesi Cha mbuzi haaina shida coz, mbuzi anakula nyasiHata zile bites ni vinyesi vya mbuzi
Uncle unafungua code kabisaHao wapo wengi sana lakini wanaishi maisha ya mateso sana, kuna Ngosha mmoja maeneo ya Makumbusho ana mzigo wa maana lakini anavaa viatu hizi plastick za sh 5000, shati limechanika na kushona shona halafu akiingia kubet anaweka mpaka laki 6 ile virtual