Habari wana JF,
Mimi ni kijana mwezenu amabye nimechoka kusubiri ajira,nimeamua kufungua Company yangu,Ndugu zangu najua kila kitu ni pesa,Nimekwama ndio maana nakuja kwenu wangwana mnipe Link...
Habari wana JF!!
Nimekuwa ni mpenzi wa kujifunza kutengeza matangazo sana, hasa matangazo ya magazeti na mabango ingawa nimekuwa nikitumia zaidi Publisher (Offfice) lakini haitoi vitu vya...
Nadhani hili linapaswa kuwa hapa katika technology
Naomba kujua wale ambao wanauza cd a antivirus pamoja na serial zake wanafanyaje?
na mm nataka kuanzisha hii biashara kama inalipa.
natangulia...
Natumia iPhone 3G nli-download Jamii Forums app ikawa poa ss recently kila nikiifungua ikifika sehemu ya kusoma thread in-crash nliifuta then nika download tena ila bd tatizo liko pale2,ila...
Heshima Kwenu wanajamvi.
Simu yangu Nokia X2-01 inagoma ku- download apps, mara nyingi imekuwa iki-respond kwa kuleta ujumbe huu "Service Not Available. Pia OVI Store nayo inagoma kabisa...
Jana wakti napitia pitia online nilikutana na watu wameanzisha kitu kinaitwa php gtk kwa ajili ya kutengeneza desktop application je ni kweli hii yawezekana na kama inawezekana hiyo application...
Not one to take security lightly, Google has announced it will pay hackers a combined total of nearly US$3 million (NZ$3.65 million) to find exploits in its Chrome OS computer software.
The...
Demand for large-screen and low-cost smartphones were among the leading forces behind the staggering growth of the segment. Cheap devices were pointed as the key difference maker they made...
Nimekuwa nikitumia Apple iPhone 3g kwa muda sasa.sasa nimehitaji kuweka application ya Jf na nyimginezo inagoma ikisema os ni yazamani yaani ni 4.1 na inatakiwa niwe na version zaidi ya hiyo( new...
Previous reports revealed that the G Pro 2 will have a 6-inch display with Full HD (1920 x 1080) resolution, Qualcomm Snapdragon 800 processor 3GB of RAM, LTE-Advanced connectivity and Android 4.4...
Heshima mbele wakuu.-
Natafuta Internet yenye bei nzuri kwa matumizi ya office. Point to point ni nzuri na nipo tyr kupokea ushauri lakini nataka unlimited.-Yeyote mwenye ushauri please naomba...
Msaada kuna program za Windows ambazo nimeinstall kwenye Linux. Sasa naona baadhi hazifanyi kazi vizuri naziondoaje maana nimejaribu kwa njia ya terminal hazitoki. Naombeni msaada wanajf.
Wataalamu,
Nina Laptop Toshiba Dynabook A9/CME 422 ambayo imegoma kabisa ku install XP SP 3. Nimejaribu yafuatayo:
1. Nimetafuta Bootable CD tofauti tatu lakini moja tu ndiyo inatoa ujumbe wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.