wanaJF naomba kusaidiwa kufaham duka au mtu anayeweza kuniuzia OS X 10.5 au mpya zaidi ili niweke kwenye macbook yangu. nimetafuta online lakini napata zinazouzwa tu , na mimi siwezi kununua...
Ni kuhusiana na simu yangu ya nokia c3 kila nikifungua program ya game inajizima yenyewe na kujiwasha nilikua naomba kama kuna mwenye ufahamu wowote anisaidie tafadhali
Device yangu haina mambo mengi kiivyo ila nashangaa card imejaa n internal memory inajaa. Nmejaribu kubaini wapi data zinakimbilia kijihifadhi nmeshindwa. Msaada wakuu
Kazi ya Jamii Forums sio tu kupashana habari, Social Networking,nk. bali pia kusaidiana pale inapowezekana.
Nimeona watu wana shida ndogo ndogo katika masuala ya technology upande wa...
Wakuu,
Nasikia kitu hiyo ukiwa nayo huna haja ya kuwa hata na DSTV.Nasikia inakamata machannel kibao na inatumia vocha ya sh 5000 kwa mwezi.Nimeambiwa bei yake ni Tsh 300,000,kazi yake ni kama...
Habari wana jf wenzangu
nina kamera yangu ya picha ya digital inatumia memory card kama ya simu kuhifazia picha.juzi nimeenda studio picha zilikuwa zinaonekana lakini tulipoweka memory card...
Hi All,
Today Monday 20th Jan 2014 we are going to have our Mobile Monday event. This month we are going to look at the Status of Mobile and Online Payment in Tanzania.
The...
ARSELONA,NYONDOLOJA na wadau wengine woooote wa masuala ya satellite dishes,kwa hapa dar hiyo satellite naeza pta kwa dish saiz gani na lnb gani ya ku inayofaa?pili naitaka receiver hiyo,je...
Naomba mnisaidie jamani nataka kuchua progra mbalimbali kwa ku dounlod katika internet ili niweke kwenye computer.nimeshindwa kabisa jamani nisaidieni wa Jf
OMG, its a natural death. Nimebaki na moderm tu. No data. Vocha niliweka za mwezi mzima. Hakuna connection. Najaribu kuangalia salio - no response. Mweee customer care je, hakuna majibu. Nikaenda...
Naomba msaada wanajamii, nina laptop toshiba satellite A200. ilikuja na Vista Basic. Nika-install Windows 7. Tangu hapo ikapoteza kuona DVD Writer. Haionekani kabisa. Ila ukiweka CD inaonesha kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.